Hii ni aibu kubwa kwa taifa letu

Hii ni aibu kubwa kwa taifa letu

Rio Tinto

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2014
Posts
777
Reaction score
452
Kwanza poleni na misiba mikubwa iliyofuatana huko Nyumbani Tanzania....Mola azilaze roho za marehemu pahala panapostahili...Ameen

Nipo Dubai kwa sasa na natarajia kuwa huku kwa mpaka mwezi ujao...hii ina maanisha kwa bahati nzuri ama mbaya sitaweza kupiga kura katika uchaguzi mkuu ujao....sijutii sana kutokua nyumbani kwani kilichonileta hapa nacho ni muhimu sana katika harakati zangu za maisha....watoto wa mujini wanasema NASAKA DOO!!

MAIN TOPIC

Nilitoka Kigali jana kuja hapa Dubai kutumia Shirika La Ndege la Rwanda yaani Rwanda Air....wakati wote wa safari yangu nilikua na maswali mengi kichwani ni wapi Tanzania kama nchi tuliteleza? ni nani ametulaani? Iweje nchi ndogo kama Rwanda ambayo mwaka 1994 ilisambaratika kabisa kufuatia mauji wa Kimbari iweze kumiliki ndege zaidi ya 6 aina ya Boeing 737 na Boeing 787 Dreamliner?? Ni kitu gani kimewafanya Wanyarwanda kuweza kupiga hatua kubwa ndani ya kipindi kifupi ukilinganisha na Taifa letu lenye umri zaidi ya Miaka 50?

Maswali hayo yalinisukuma ku google ili kujua zaidi kuhusu Rwanda Air...huwezi amini Shirika Hilo La Ndege linafanya safari katika miji mikuu mbali mbali Africa ikiwemo Johannesburg, Entebbe, Lusaka, Kilimanjaro, Lagos na Mombasa.

Inabidi kama Taifa tukae na tujiulize wapi tulijikwaa ili tuweze kurekebisha maana hii ni aibu kubwa sana taifa dogo kama Rwanda kuwa na National Carier yake wakati sisi tukishindana na CHOPA ZA KICHINA....

Wacha nijiandae kwenda Burj Khalifa baadae usiku....watu na dunia yao...
 
Mkuu hii ni laana kwa taifa LA Tanzania, inahitajika Maombi. Na jamaa kasema tukiwapa lizaa watutawale tena. Inabidi tupimwe akili , hivi haya mavijiziongozi Yanapoenda nje hayajifunzagi au hata kuona aibu duh ni shida
 
Na bado wachumia tumbo utawasikia wakisema chagua fisiem
 
ukiacha nyerere hatujawahi kupata kiongozi tena walioko ni wezi tu kungekuwa kunauwezo wa kuazima kiongozi basi tungeazima rwanda japo kwa mwaka mmoja tu.
 
ukiacha nyerere hatujawahi kupata kiongozi tena walioko ni wezi tu kungekuwa kunauwezo wa kuazima kiongozi basi tungeazima rwanda japo kwa mwaka mmoja tu.
laana ya nchi hii ilianza baada ya nyerere kuwatimua waisrael na kufunga ubalozi na israel taifa teule la Mungu,marekani na ujinga wake anawaheshimu sana waisrael anapata upako kupitia kwao au niseme anatembelea nyota yao,
 
Mkuu pole sana. Tatizo ni mfumo. Pia usanii mwingi. Wewe angalia eti hapa Tanz kila mtu anaweza kuwa Rais! Hii ni pamoja na wasomi wetu. Angalia prof/Dr anavyotetea uchafu ili baadae apewe kacheo. Ni aibu tupu na hasa USANII.
 
Kwanza poleni na misiba mikubwa iliyofuatana huko Nyumbani Tanzania....Mola azilaze roho za marehemu pahala panapostahili...Ameen

Nipo Dubai kwa sasa na natarajia kuwa huku kwa mpaka mwezi ujao...hii ina maanisha kwa bahati nzuri ama mbaya sitaweza kupiga kura katika uchaguzi mkuu ujao....sijutii sana kutokua nyumbani kwani kilichonileta hapa nacho ni muhimu sana katika harakati zangu za maisha....watoto wa mujini wanasema NASAKA DOO!!

MAIN TOPIC

Nilitoka Kigali jana kuja hapa Dubai kutumia Shirika La Ndege la Rwanda yaani Rwanda Air....wakati wote wa safari yangu nilikua na maswali mengi kichwani ni wapi Tanzania kama nchi tuliteleza? ni nani ametulaani? Iweje nchi ndogo kama Rwanda ambayo mwaka 1994 ilisambaratika kabisa kufuatia mauji wa Kimbari iweze kumiliki ndege zaidi ya 6 aina ya Boeing 737 na Boeing 787 Dreamliner?? Ni kitu gani kimewafanya Wanyarwanda kuweza kupiga hatua kubwa ndani ya kipindi kifupi ukilinganisha na Taifa letu lenye umri zaidi ya Miaka 50?

Maswali hayo yalinisukuma ku google ili kujua zaidi kuhusu Rwanda Air...huwezi amini Shirika Hilo La Ndege linafanya safari katika miji mikuu mbali mbali Africa ikiwemo Johannesburg, Entebbe, Lusaka, Kilimanjaro, Lagos na Mombasa.

Inabidi kama Taifa tukae na tujiulize wapi tulijikwaa ili tuweze kurekebisha maana hii ni aibu kubwa sana taifa dogo kama Rwanda kuwa na National Carier yake wakati sisi tukishindana na CHOPA ZA KICHINA....

Wacha nijiandae kwenda Burj Khalifa baadae usiku....watu na dunia yao...

Acha ujinga kwani umeshindwa kusafiri? Mbona kuna nchi nyingi tu hazina ndege za Serikali?
Watu kama ninyi ndiyo hamfai kuwa viongozi kwa maana mna akili zisizoona mbali, hapo ningekuelewa kama ungesema kwamba umeshindwa kufika Dubai ilikubidi usafiri mpaka Kigali ndiyo uweze kupata ndege ya kwenda Dubai, lkn kama unaweza kusafiri ktk TZ mpaka Dubai kila siku tena mara mbili kwa siku kuna ndege tatizo liko wapi?

Mbona kuna nchi nyingi tu hazina ndege za Serikali? Marekani haina Kampuni ya ndege ya Serikali zote ni za watu binafsi
, Nigeria haina shirika la ndege la serikali, nchi ya Uswisi hii ni nchi tajiri klk zote Duniani haina ndege ya Serikali (National airline) Swiss air ilifilisika ikanunuliwa na Lufthansa ya Ujerumani na hivi leo inamilikiwa na Ujerumani sasa kwanini kwetu iwe ishu?

Cha muhimu hapa kuna usafiri wa kuaminika unaounganisha TZ na Dunia? Hilo ndilo muhimu!
 
Niliingia kwenye website ya AIRBUS wiki iliyopita nimeona wameoda Airbus 330-300 nafikiri mbili . Moja itatoka summer 2016.
 
Kwanza poleni na misiba mikubwa iliyofuatana huko Nyumbani Tanzania....Mola azilaze roho za marehemu pahala panapostahili...Ameen

Nipo Dubai kwa sasa na natarajia kuwa huku kwa mpaka mwezi ujao...hii ina maanisha kwa bahati nzuri ama mbaya sitaweza kupiga kura katika uchaguzi mkuu ujao....sijutii sana kutokua nyumbani kwani kilichonileta hapa nacho ni muhimu sana katika harakati zangu za maisha....watoto wa mujini wanasema NASAKA DOO!!

MAIN TOPIC

Nilitoka Kigali jana kuja hapa Dubai kutumia Shirika La Ndege la Rwanda yaani Rwanda Air....wakati wote wa safari yangu nilikua na maswali mengi kichwani ni wapi Tanzania kama nchi tuliteleza? ni nani ametulaani? Iweje nchi ndogo kama Rwanda ambayo mwaka 1994 ilisambaratika kabisa kufuatia mauji wa Kimbari iweze kumiliki ndege zaidi ya 6 aina ya Boeing 737 na Boeing 787 Dreamliner?? Ni kitu gani kimewafanya Wanyarwanda kuweza kupiga hatua kubwa ndani ya kipindi kifupi ukilinganisha na Taifa letu lenye umri zaidi ya Miaka 50?

Maswali hayo yalinisukuma ku google ili kujua zaidi kuhusu Rwanda Air...huwezi amini Shirika Hilo La Ndege linafanya safari katika miji mikuu mbali mbali Africa ikiwemo Johannesburg, Entebbe, Lusaka, Kilimanjaro, Lagos na Mombasa.

Inabidi kama Taifa tukae na tujiulize wapi tulijikwaa ili tuweze kurekebisha maana hii ni aibu kubwa sana taifa dogo kama Rwanda kuwa na National Carier yake wakati sisi tukishindana na CHOPA ZA KICHINA....

Wacha nijiandae kwenda Burj Khalifa baadae usiku....watu na dunia yao...


Ukimaliza kutafakari ya Rwanda pia jaribu kupitia na ya hapo Dubai; wakati tunapata Uhuru tulikuwa tumewaacha mbali sana.
~https://www.youtube.com/watch?v=swyOxvE0x5
[FONT=&#10]https://www.youtube.com/watch?v=OvIyk4i34EQ

[FONT=&#10]https://www.youtube.com/watch?v=S1oX9L6e6_Q



[/FONT]


[/FONT]
 
Acha ujinga kwani umeshindwa kusafiri? Mbona kuna nchi nyingi tu hazina ndege za Serikali?
Watu kama ninyi ndiyo hamfai kuwa viongozi kwa maana mna akili zisizoona mbali, hapo ningekuelewa kama ungesema kwamba umeshindwa kufika Dubai ilikubidi usafiri mpaka Kigali ndiyo uweze kupata ndege ya kwenda Dubai, lkn kama unaweza kusafiri ktk TZ mpaka Dubai kila siku tena mara mbili kwa siku kuna ndege tatizo liko wapi?

Mbona kuna nchi nyingi tu hazina ndege za Serikali? Marekani haina Kampuni ya ndege ya Serikali zote ni za watu binafsi
, Nigeria haina shirika la ndege la serikali, nchi ya Uswisi hii ni nchi tajiri klk zote Duniani haina ndege ya Serikali (National airline) Swiss air ilifilisika ikanunuliwa na Lufthansa ya Ujerumani na hivi leo inamilikiwa na Ujerumani sasa kwanini kwetu iwe ishu?

Cha muhimu hapa kuna usafiri wa kuaminika unaounganisha TZ na Dunia? Hilo ndilo muhimu!

Hivi umemuelewa mleta mada? Wapi amekwambia hatuna ndege ya Serikali?
 
Dah....

the reason must be of the current disappointing generation of politicians!!

• Short Sighted,
• Lack of Visions
• Lack of Ownership
• Selfish
• incompetence
• Corruption/ Bribery
• Failure to understand the "thePurpose of Living" and "justliving for the for the Purpose"
• Void brain, empty/Blinded minded,
• Lack of knowledge(Wisdom)...
• Corrupt education
• Void economic system.



Acha ujinga kwani umeshindwa kusafiri? Mbona kuna nchi nyingi tu hazina ndege za Serikali?
Watu kama ninyi ndiyo hamfai kuwa viongozi kwa maana mna akili zisizoona mbali, hapo ningekuelewa kama ungesema kwamba umeshindwa kufika Dubai ilikubidi usafiri mpaka Kigali ndiyo uweze kupata ndege ya kwenda Dubai, lkn kama unaweza kusafiri ktk TZ mpaka Dubai kila siku tena mara mbili kwa siku kuna ndege tatizo liko wapi?

Mbona kuna nchi nyingi tu hazina ndege za Serikali? Marekani haina Kampuni ya ndege ya Serikali zote ni za watu binafsi
, Nigeria haina shirika la ndege la serikali, nchi ya Uswisi hii ni nchi tajiri klk zote Duniani haina ndege ya Serikali (National airline) Swiss air ilifilisika ikanunuliwa na Lufthansa ya Ujerumani na hivi leo inamilikiwa na Ujerumani sasa kwanini kwetu iwe ishu?

Cha muhimu hapa kuna usafiri wa kuaminika unaounganisha TZ na Dunia? Hilo ndilo muhimu!
 
Acha ujinga kwani umeshindwa kusafiri? Mbona kuna nchi nyingi tu hazina ndege za Serikali?
Watu kama ninyi ndiyo hamfai kuwa viongozi kwa maana mna akili zisizoona mbali, hapo ningekuelewa kama ungesema kwamba umeshindwa kufika Dubai ilikubidi usafiri mpaka Kigali ndiyo uweze kupata ndege ya kwenda Dubai, lkn kama unaweza kusafiri ktk TZ mpaka Dubai kila siku tena mara mbili kwa siku kuna ndege tatizo liko wapi?

Mbona kuna nchi nyingi tu hazina ndege za Serikali? Marekani haina Kampuni ya ndege ya Serikali zote ni za watu binafsi
, Nigeria haina shirika la ndege la serikali, nchi ya Uswisi hii ni nchi tajiri klk zote Duniani haina ndege ya Serikali (National airline) Swiss air ilifilisika ikanunuliwa na Lufthansa ya Ujerumani na hivi leo inamilikiwa na Ujerumani sasa kwanini kwetu iwe ishu?

Cha muhimu hapa kuna usafiri wa kuaminika unaounganisha TZ na Dunia? Hilo ndilo muhimu!

Wewe nadhani ukapimwe akili hauko sawa. Nimejaribu kufuatilia comments zako kwenye posts nyingi unaongea pumba tu. kweli Tanzania tuna njia ndefu, kama viongozi wetu wana mawazo kama yako. Kwanza nikusahihishe: Switzerland siyo nchi tajiri kuliko zote duniani. Switzerland ni nchi ya 9 kwa utajiri, ya kwanza ikiwa Qatar.
 
[/QUOTE]......Wacha nijiandae kwenda Burj Khalifa baadae usiku....watu na dunia yao...[/QUOTE] Ni PM niko Palm Jumeirah.

.
 
Back
Top Bottom