Busu la Kenge
JF-Expert Member
- Jun 13, 2025
- 2,310
- 4,207
Wataalam wa mambo ya anga na hali ya hewa wanadai mvua zinazoendelea kunyesha sasa hivi msimu huu wa masika zinatokana na misitu ya Congo na afrika ya kati kwa ujumla.
Nawapongeza wanaharakati wanaopigania kulinda misitu duniani hasa Amazon, Afrika ya kati na Asia na kuhamasisha upandaji wa miti.
Tupandeni miti na tutunze mazingira.
adriz de mbusii
Nawapongeza wanaharakati wanaopigania kulinda misitu duniani hasa Amazon, Afrika ya kati na Asia na kuhamasisha upandaji wa miti.
Tupandeni miti na tutunze mazingira.
adriz de mbusii
