Hii ndo tatu bora ya wagombea wa CCM

Hii ndo tatu bora ya wagombea wa CCM

Status
Not open for further replies.

Bundewe

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
400
Reaction score
141
Mpaka kufikia jana jioni tar. 10/06/2015, takriban wanachama 29 wamechukua fomu au kutangaza nia ya kugombea urais wa nchi hii.

Hii ni idadi kubwa sana ya watu kutangaza kutaka urais wa nchi yetu, nadhani kiti cha rais sasa kimeonekana cha kawaida sana, kiasi kwamba kuna ambao wana elimu ya msingi pekee lakini nao wamechukua fomu, kuna ambao wamejiuzulu kwa kashfa za wizi nao wamechukua fomu.

Maoni yangu ni kwamba peformance ya kiwango cha chini iliyooneshwa na rais aliyepo sasa imesababisha hali hii.

Kwa maoni yangu, kati ya wote waliokwishacukua fomu au kutangaza nia; watu watatu wanaoweza kupitishwa na CCM kufikia fainali (mkutano mkuu) ni
1. Mark Mwandosya,
2. Mwigulu Nchemba na
3. John Magufuli
,


Na huenda John Magufuli akawabwaga wenzie katika hatua hiyo na kupewa fursa ya kupeperusha bendera ya CCM. Mpambano kati ya Dr. Magufuli na Dr. Slaa utakua na msisimko wa aina yake.

Tupia maoni yako, unadhani ni nani wana nafasi ya kupitishwa na CCM?
 
....vigezo vya magamba ni uwezo wa kuhonga wajumbe na kuhonga wananchi,hao wanamarafiki wa kuweza hiyo kazi....?
 
Huyu atashindwa kupitishwa kwa kigezo cha elimu tuu, lakini sidhani kama anayo kashfa yeyote ya kimaadili kama hao uliowataja.
ImageUploadedByJamiiForums1433999264.385243.jpg
 
Mpaka kufikia jana jioni tar. 10/06/2015, takriban wanachama 29 wamechukua fomu au kutangaza nia ya kugombea urais wa nchi hii.

Hii ni idadi kubwa sana ya watu kutangaza kutaka urais wa nchi yetu, nadhani kiti cha rais sasa kimeonekana cha kawaida sana, kiasi kwamba kuna ambao wana elimu ya msingi pekee lakini nao wamechukua fomu, kuna ambao wamejiuzulu kwa kashfa za wizi nao wamechukua fomu.

Maoni yangu ni kwamba peformance ya kiwango cha chini iliyooneshwa na rais aliyepo sasa imesababisha hali hii.

Kwa maoni yangu, kati ya wote waliokwishacukua fomu au kutangaza nia; watu watatu wanaoweza kupitishwa na CCM kufikia fainali (mkutano mkuu) ni
1. Mark Mwandosya,
2. Mwigulu Nchemba na
3. John Magufuli
,


Na huenda John Magufuli akawabwaga wenzie katika hatua hiyo na kupewa fursa ya kupeperusha bendera ya CCM. Mpambano kati ya Dr. Magufuli na Dr. Slaa utakua na msisimko wa aina yake.

Tupia maoni yako, unadhani ni nani wana nafasi ya kupitishwa na CCM?
Huyo ni waziri Mkuu wa Wazalendo chini ya uongozi wa Ndugu Charles Makongoro Nyerere.!!!
 
Kama jina la jembe letu mpina halimo kwenye list sikubaliani na wewe kabisa.
 
ccm wanaweweseka sn. watia nia wanazodoana wanakosoana... hamna msafi !!.

hiyo 3 bora ni wezi na mafisadi walewale.
 
Hao wawili umepatia, lakini hilo GAIDI nalo umelipa nafasi? Hilo haliwezi kupita hata hatua ya CC. Marehemu lililowaua Arusha kwa ushirikiano na Msaliti mkuu watafufuka nakuhakikishia.
 
Huyu atashindwa kupitishwa kwa kigezo cha elimu tuu, lakini sidhani kama anayo kashfa yeyote ya kimaadili kama hao uliowataja.
View attachment 259125

Hahaha! Dah huyu mzee nae alizingua, au anafikiri urais ni kazi sawa na kuwa meneja wa kilabu cha pombe ya dengu kijijini? Au labda ana matatizo ya akili? Maana mtu mwenye akili timamu kusafiri kwa treni toka kigoma mpaka Dodoma, safari ya yote hiyo kuishia mlangoni pa ofisi ya kuchukulia fomu na maji yako kwapani na mfuko wa malboro mkononi inahitaji moyo wa kama mwendawazimu hivi..
 
bundewe hao ni kwa mujbu wa ndoto zako na inakubidi usali sala zote uombe wabaki hao. lakini kwa mujibu wa demokrasia iliyopo ndani ya chama chetu watapigiwa kura na watabaki watano watakaopelekwa mbele kupata jina moja
Bundewe
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo UKAWA washampitisha Slaa au ndio uroho wa Madaraka wa CHADEMA!

Hajapitishwa Slaa, ila nadhani kwa UKAWA, yeye ndo anapewa nafasi kubwa zaidi akifuatiwa na Lipumba. Kwa kweli huyu jamaa (Dr. Slaa) ndo anayewanyima usingizi watu wa ccm
 
I got the feeling this time wanaposema wanataka kukisafisha chama na serikari wako serious kati ya hao yeyote anaweza kufika tatu bora lakini hakuna jina hata la mmoja kati ya watu wanne waliojitokeza wenye huo uwezo na sifa CCM inazozitaka.

Look at it this way Tanzania is pretty much a police state na watu wanaona siasa ziliachiwa sana kufanya maamuzi ambayo sio sahihi na kuvutia watu wasio sahihi wanadai wanataka kuridi to the basic firsts.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom