Hii ndo hali halisi leo Arusha

Kwa kweli hali ni tete private car zinazoingia moshi na Arusha ni nyingi sana kumekua na msongamano wa kufa mtu machame

Pale himo ndio balaa marangu na rombo hakufai magari ni mengi barabara za moshi zinakuwa finyu kama barabara za posta mamlaka husika ziingilie kati.
 
Hata gazeti la Mwananchi Leo limeripoti kuwa foleni Ni kubwa Sana Na bar zimefurika hasa zile zenye nyama choma
 


Mamlaka ziingilie kati kivipi?
 
Kituo kikubwa cha mabasi Arusha kimezidiwa Na Abiria wanaoenda Moshi, bado hali Ni tete kwa abiria wakiwa hawajui hatma ya safari kutokana Na kuwa wengi kuliko kawaida
Watumie bodaboda tu, Chuga to Moshi Karibu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…