Japan= SimplicityView attachment 1675031
The picture tells 1000 words...
Endelea kutafuta hela.....dont always live by disdaining the things you cannot have........Japan= Simplicity
German= Complicated
Sawa Ellon MuskEndelea kutafuta hela.....dont always live by disdaining the things you cannot have........
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Labda yanafunga ili dereva apambane na hali yake, mwanaume hakimbii matatizo.Nje ya mada. Kwanini milango kwenye magari yanayotumia umeme hujilock inapotokea dharula ya moto? Au ni uvumi wa watu. Kwanini ktk dharula hiyo isifunguke ili kumpa nafasi aliyeko ndani kutoka?
Jinsi unavyoongeza vitu kwenye basic design ndipo unaongeza pia chances ya kitu kubreakJapan= Simplicity
German= Complicated
Nahisi tu... milango ya gari imezungukwa na mpira (rubber seal) kwa ajili ya kuzuia maji na vumbi so kinachotokea gari likiwaka moto zile rubber zinayeyuka na kuwa gundi na kufanya mlango uwe ngumu kufungukaNje ya mada. Kwanini milango kwenye magari yanayotumia umeme hujilock inapotokea dharula ya moto? Au ni uvumi wa watu. Kwanini ktk dharula hiyo isifunguke ili kumpa nafasi aliyeko ndani kutoka?
Nilikuwa sijacheka kutwa nzimaLabda yanafunga ili dereva apambane na hali yake, mwanaume hakimbii matatizo.
No retreat no surrender.
Mahondaw tangu tarehe 5 January haonekani jf anaumwa???
Ndio maana yake, Germans wana Over engineering na ndio inafanya gari iwe na matatizo lukuki. Nimeshangaa kuona hapo mguu mmoja una mikono 3 yenye bushing 3! Ikifa bush 1 unanunu zote,spear zitaacha kuwa aghali kweli.?Jinsi unavyoongeza vitu kwenye basic design ndipo unaongeza pia chances ya kitu kubreak
Hakika mkuuNdio maana yake, Germans wana Over engineering na ndio inafanya gari iwe na matatizo lukuki. Nimeshangaa kuona hapo mguu mmoja una mikono 3 yenye bushing 3! Ikifa bush 1 unanunu zote,spear zitaacha kuwa aghali kweli.?
Km ni ajali lazima ijirock ili kumpa guide aliendan asitoke nje na seat belt hufunguka kurud nyuma ili kuzuia usukanNje ya mada. Kwanini milango kwenye magari yanayotumia umeme hujilock inapotokea dharula ya moto? Au ni uvumi wa watu. Kwanini ktk dharula hiyo isifunguke ili kumpa nafasi aliyeko ndani kutoka?
Watu waoiponda toyota, hawajawahi fuatilia philosophy ya hawa wajamaa. Laiti kama wangefuatilia philosophy yao wange appriciate effort zao.View attachment 1675031
The picture tells 1000 words...
Tatizo wengi mna comment kwa hisia. Kaangalie gx100 Cresta ina mikono mingapi halafu Mimi nitakwambia vw golf ina wishbone moja mbele ambayo shape inafanana na ya corolla.Ndio maana yake, Germans wana Over engineering na ndio inafanya gari iwe na matatizo lukuki. Nimeshangaa kuona hapo mguu mmoja una mikono 3 yenye bushing 3! Ikifa bush 1 unanunu zote,spear zitaacha kuwa aghali kweli.?