Hii timu ni nzuri ila bado haijakomaa inabidi tuwahakiki wafuatao ili kujua uthabiti wao kama vile Zitto Kabwe huyu dogo mimi sina imani naye sana maana ni kweli anahoja ila mara nyingine hisia zake binafsi zamzidi maslahi ya chama na taifa kiujumla nikiwa na maana anakuwa na ndoto nyingi kuzidi jinsi ya kuzitimiza sasa hapo ndo hatari inakuja.
Mtu mwingine ni Prof. Safari huyu namkubali ila sasa ni mchanga sana kwenye chama chetu kuweza kumpa madaraka. So tumlee kwanza kuona ukomavu wake kama mwanachadema then tumpe nafasi.
Hii timu sasa tuifanyie kazi ya kuitafutia manaibu wawili wawili kila mmoja hapo tutajiweka vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.