Mashimba Son JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 1,130 Reaction score 1,402 Jul 7, 2015 #41 Jaji ramadhani pia ni mchungaji wa kanisa langu LA Anglikana...!!
Wacha1 JF-Expert Member Joined Dec 21, 2009 Posts 16,676 Reaction score 8,246 Jul 7, 2015 #42 CCM wanachagua majambazi sugu ili waendelee kulindwa kwa wizi uliokubuhu wa pesa za walipa kodi.
N nabiitz Senior Member Joined Jan 29, 2014 Posts 157 Reaction score 32 Jul 8, 2015 #43 Jamani hayupo mbali na ukweli tujaribu kupima wenywe kwa kulinganisha mmoja baada ya mwingine,kati yao yupo anaeweza kutuvusha
Jamani hayupo mbali na ukweli tujaribu kupima wenywe kwa kulinganisha mmoja baada ya mwingine,kati yao yupo anaeweza kutuvusha
N nabiitz Senior Member Joined Jan 29, 2014 Posts 157 Reaction score 32 Jul 8, 2015 #44 wacha1 said: ccm wanachagua majambazi sugu ili waendelee kulindwa kwa wizi uliokubuhu wa pesa za walipa kodi. Click to expand... punguza jazba ndo kipindi cha kuanya maamuzi..tuache siasa za maji taka na tupate kiongozi bora
wacha1 said: ccm wanachagua majambazi sugu ili waendelee kulindwa kwa wizi uliokubuhu wa pesa za walipa kodi. Click to expand... punguza jazba ndo kipindi cha kuanya maamuzi..tuache siasa za maji taka na tupate kiongozi bora
Egwugu JF-Expert Member Joined Mar 16, 2011 Posts 17,558 Reaction score 8,551 Jul 9, 2015 #45 Mpaka sahivi ikoje?