Hii Ndiyo Tano Bora ya CCM

Hii Ndiyo Tano Bora ya CCM

Jaji ramadhani pia ni mchungaji wa kanisa langu LA Anglikana...!!
 
CCM wanachagua majambazi sugu ili waendelee kulindwa kwa wizi uliokubuhu wa pesa za walipa kodi.
 
Jamani hayupo mbali na ukweli tujaribu kupima wenywe kwa kulinganisha mmoja baada ya mwingine,kati yao yupo anaeweza kutuvusha
 
ccm wanachagua majambazi sugu ili waendelee kulindwa kwa wizi uliokubuhu wa pesa za walipa kodi.

punguza jazba ndo kipindi cha kuanya maamuzi..tuache siasa za maji taka na tupate kiongozi bora
 
Back
Top Bottom