Le Grand Alexei
Senior Member
- Nov 9, 2011
- 116
- 83
1. Jaji Agustino Ramadhani - wasifu wake wa uadilifu na utumishi jeshini na serikalini ni hazina kubwa, pia sababu za kisiasa za kuwa mzanzibari na 'mkristo' ukizingatia wazanzibari hawajatoa Rais kwa mihula miwili sasa na hii ni 'zamu' ya wakristo {japokuwa haijaandikwa popote lakini ndiyo matarajio kwa kudumisha mshkamano}
2. Dk Bilal - ni makamu wa Rais hivyo itifaki itambeba
3. Dk Asha Migiro - atabebwa na wasifu na pia 'jinsia'. huyu ni msindikizaji wa kike ambaye anawashinda wasifu wanawake wenzake wote waliojitokeza. Balozi amina salum ali anapotezwa kwa nafasi na hao wazanzibari wenzake wawili hapo juu.
4. Pinda - ni waziri mkuu aliyeko madarakani na hivyo anabebwa na itifaki
5. Dk Kigwangalla - ni mgombea mwingine msindikizaji kijana atakayeingia kuwakilisha kundi la vijana. atateuliwa kwa kuwa ni msindikizaji anayeweza kukubali kirahisi kumsaidia jaji agostino ramadhani kuliko wengine wanaoweza kutitokeza kupambana.
hii list ndiyo itakuwa dawa ya kushughulika na lowasa, maana itatengenezwa sababu rahisi kuwa makada sita hawakutiii adhabu waliyopewa na hivyo wanazuiliwa kusonga mbele wote sita. ccm ikifanya hivi itakuwa imeondokana na makundi hasimu ya membe, sitta na lowasa maana wote watakuwa nje.
2. Dk Bilal - ni makamu wa Rais hivyo itifaki itambeba
3. Dk Asha Migiro - atabebwa na wasifu na pia 'jinsia'. huyu ni msindikizaji wa kike ambaye anawashinda wasifu wanawake wenzake wote waliojitokeza. Balozi amina salum ali anapotezwa kwa nafasi na hao wazanzibari wenzake wawili hapo juu.
4. Pinda - ni waziri mkuu aliyeko madarakani na hivyo anabebwa na itifaki
5. Dk Kigwangalla - ni mgombea mwingine msindikizaji kijana atakayeingia kuwakilisha kundi la vijana. atateuliwa kwa kuwa ni msindikizaji anayeweza kukubali kirahisi kumsaidia jaji agostino ramadhani kuliko wengine wanaoweza kutitokeza kupambana.
hii list ndiyo itakuwa dawa ya kushughulika na lowasa, maana itatengenezwa sababu rahisi kuwa makada sita hawakutiii adhabu waliyopewa na hivyo wanazuiliwa kusonga mbele wote sita. ccm ikifanya hivi itakuwa imeondokana na makundi hasimu ya membe, sitta na lowasa maana wote watakuwa nje.