Hii ndiyo sababu iliyomfanya huyu dada atengwe na kanisa

Bob12

JF-Expert Member
Feb 27, 2017
11,422
58,787
Habari za muda huu wakuu
Kuna dada ambaye ni rafiki wa karibu wa my sister,ni mrembo kiasi chake, ana kipato kizuri tu na ni mlokole pia.

Aliolewa na mwanaume ambae naye pia yupo vzr kiuchumi na walifanya harusi kubwa sana,km mnavojua walokole hawarusu kufanya tendo la ndoa kabla ya kufunga ndo so dada alivumilia mpk alipofunga ndoa.

Walipoenda honey moon ule usiku wa harusi hawakuweza kufanya tendo sababu jamaa alikua anadai amechoka sana na mishe za hiyo siku,dada akakubali kishingo upande,mpaka honey moon inaisha hawakufanya tendo kbs,jamaa akiwa anajitetea kwamba yy mwenyewe anashangaa hiyo hali ya kichwa cha chini kutokusimama na kumbe toka awe na ufahamu hajawah kudinda.

Miezi kibao ikapita yule bi dada uzalendo ukamshinda akaamua kutoka nje ya ndoa mpk kanisa lilipokuja kugundua mwisho wa siku likamtenga kwa dhambi ya uzinzi,japokua aliwaelezea wachungaj chanzo cha kufanya hivo ila hakueleweka.

Je
- huyu dada alionewa ?
- watu wawe wanafanya tendo kabla ya ndoa ili yasitokee km haya?

Mchango wenu ni muhimu sana
 
Kama mume wake hana tatizo na yeye kwenda nje basi wahame kanisa au wasali kwenye TV nyumbani.

Je si na mumewe walijadili jambo hili, au?

Mola ndie King of Kings
 
humu ndani mmezidi na vistori vya uongo, yani jamaa anajua kabisa hadindi halafu anaenda kuoa!! nonsense!!!
Wapo mahanisi kibao wanaoa afu wanawalipa masela ili wawasaidie kupiga mimba ili ndg,jamaa na marafiki wasijue nn kinaendelea
 
Hakuna kitu kama hicho. Huweza kuoa wakati hauna uwezo wa kusimamisha. Ili iweje sasa? Na sisi tunafundishwa hakuna ndoa kama hakuna tendo la ndoa, so huyo dada angeweza tu kwenda kanisani au kwa wazazi ili wavunje ndoa
 
Hakuna kitu kama hicho. Huweza kuoa wakati hauna uwezo wa kusimamisha. Ili iweje sasa? Na sisi tunafundishwa hakuna ndoa kama hakuna tendo la ndoa, so huyo dada angeweza tu kwenda kanisani au kwa wazazi ili wavunje ndoa
Hii dunia ina mambo ujue
 
Kwenye jamii nyingi kuna kitu kinaitwa "Consummation of marriage". Yaani bila tendo la ndoa kufanyika baada ya ndoa, hiyo ndoa inaweza kufutwa kabisa (annulled) na wahusika wote wawili wakachukuliwa as if hawajawahi kufinga ndoa. Sio talaka. Maana bila consummation, lengo la ndoa linakua halijatimia.
 
Unajua kutunga stori kweli.
Hivi jamani kwani dini gani inaruhusu kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa. Maana naonaga kika siku lawama zina waangukia ndugu zangu walokole
Ebu tujuzane hiyo dini yenye inaruhusu hapa
Qanapoenda honeymoon wanakuwa wamieishafunga ndoa
 
Aaah
Jamaa anaelekeza lawama kuwa taratibu za kilokole ndio zilipelekea hadi ndoa ikafungwa bila bibiye kujua hali halisi.
Sasa swali langu ni je angekuwa dini gani ndio isinge mtokea!?
Dini zote zinakataza kufanya tendo kabla ya ndoa sema ule mkazo unakua haupo kivile lakini walokole wanajitahidi sana katika kukazia hilo na wengi wakikubaini wanakutenga haraka
 
Back
Top Bottom