Hii ndiyo idadi kamili ya vichaa nchini

Hii ndiyo idadi kamili ya vichaa nchini

Hata mimi sijiamini kama ni mzima, maana naona kama mambo yako tofauti sasa
sina uhakika kama ni akili yangu au ni vitu halisi, Nimeangalia Bunge la katiba nimeshuhudia
watu wazima wakitukana ovyo, na wakati linaishia nikaona wengine wakikata mauno kwa
furaha.

Jana nimeshuhudia mtu mzima akilia na inadaiwa jina lake limeingia kwa wapiga kura
wa katiba mpya hali ya kuwa hakuhudhuria huko Uchaguzini.

Nina wasiwasi na akili yangu maana sina uhakika kama hayo ninayoyaona na wenzangu
wanayaona vivyo hivyo.
 
na bado hadi 2015 tutapata idadi kubwa zaidi
 
Kwa jinsi mnavyokoment hapa jf, nakubaliana na huo utafiti.
 
Idadi kamili ya vichaa:
Research 450,000
BMK 490
Wasanii 10,000,000
Clouds FM 80
TBC 210

Jumla kuu 10,450,780

Idadi bado ndogo mkuu, umewasahau na wale wa Magogoni na kina Kova. Magogoni tunaye Vasco pamoja na kurugenzi ya uongo
 
Takwimu sio sahihi vichaa ni wengi zaidi ya hao hasa ukiongeza na wale mapashukuna waliokuwa mle ndani ya BMK waliopiga kura za ndio
 
Hata mimi sijiamini kama ni mzima, maana naona kama mambo yako tofauti sasa
sina uhakika kama ni akili yangu au ni vitu halisi, Nimeangalia Bunge la katiba nimeshuhudia
watu wazima wakitukana ovyo, na wakati linaishia nikaona wengine wakikata mauno kwa
furaha.

Jana nimeshuhudia mtu mzima akilia na inadaiwa jina lake limeingia kwa wapiga kura
wa katiba mpya hali ya kuwa hakuhudhuria huko Uchaguzini.

Nina wasiwasi na akili yangu maana sina uhakika kama hayo ninayoyaona na wenzangu
wanayaona vivyo hivyo.

Ha ha ha ha ha nimecheka kweli haaaa...
 
Back
Top Bottom