Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,727
450,000 sio IDADI KAMILI angesema IDADI YA MAKADIRIO. Sio rahisi kuhesabu ukapata 450,000 KAMILI!!Wagonjwa wa kichaa nchini wameongezeka na kufika laki nne na elfu hamsini(450,000).
Hayo alieleza jana waziri wa afya na ustawi wa jamii Dr. Seif Rashidi alipokuwa nanahutubia siku ya afya ya akili duniani, iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam