Hii ndiyo idadi kamili ya vichaa nchini

Hii ndiyo idadi kamili ya vichaa nchini

Shukrani A. Ngonyani

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2014
Posts
1,182
Reaction score
2,021
Wagonjwa wa kichaa nchini wameongezeka na kufika laki nne na elfu hamsini(450,000).

Hayo alieleza jana waziri wa afya na ustawi wa jamii Dr. Seif Rashidi alipokuwa nanahutubia siku ya afya ya akili duniani, iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam
 
Wagonjwa wa kichaa nchini wameongezeka na kufika laki nne na elfu hamsini(450,000).

Hayo alieleza jana waziri wa afya na ustawi wa jamii Dr. Seif Rashidi alipokuwa nanahutubia siku ya afya ya akili duniani, iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam


kuna wengine umewasahau walikuwa wanajiandikia makaratasi yao juzi tu hapa wakidai sisi ndiyo tumewatuma
 
ccm kwa kuchakachua inawezekana wamechakachua ili tusiwajue kama wapo wengi
 
Nakubaliana idadi hiyo na inaweza kuongezeka, hii ni kutokana na vijana wengi kujiingiza kwenye madawa ya kulevya.
Pia wengine wamekuwa vichaa kutokana na UGUMU WA MAISHA wabishi watapinga tu.
 
Wilaya ya kinondoni inaongoza

wangesema kinondoni inaongoza kwa machizi in terms of what! uchizi wa kuzaliwa au waku tokea au uchizi wa kutumia madawa ya kulevya? atuambie
 
Ndiyo maana watanzania wanaburuzwa na CCM na Serikali yake kama wanavyotaka kwani wengi ni matahira
 
Idadi kamili ya vichaa:
Research 450,000
BMK 490
Wasanii 10,000,000
Clouds FM 80
TBC 210

Jumla kuu 10,450,780

hahahaha kweli kbsa umepatiaaaaa...kula like
 
Chizo lao kuu ni 6,katibu ni wa hasira..mwela hazina ni deo sanga..!!
 
Sikushangaa kusikia wameongezeka kukiko ningesikia wamepungua ndo ningejua wamechakachua Ila walioongezeka ni wajumbe wa BMK wakiongozwa na 6
 
Back
Top Bottom