Shukrani A. Ngonyani
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,182
- 2,021
Wagonjwa wa kichaa nchini wameongezeka na kufika laki nne na elfu hamsini(450,000).
Hayo alieleza jana waziri wa afya na ustawi wa jamii Dr. Seif Rashidi alipokuwa nanahutubia siku ya afya ya akili duniani, iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam
Hayo alieleza jana waziri wa afya na ustawi wa jamii Dr. Seif Rashidi alipokuwa nanahutubia siku ya afya ya akili duniani, iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam