FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,638
- 4,210
anisamehe mkuu!Mkuu umekuwa harsh sana. Hujatumia ustaarabu kumjibu hata kama umeona amekosea ungemwelekeza tu vizuri usingepungukiwa kitu.
anisamehe mkuu!Mkuu umekuwa harsh sana. Hujatumia ustaarabu kumjibu hata kama umeona amekosea ungemwelekeza tu vizuri usingepungukiwa kitu.
Faida ninayo ipata inanitosha mkuu na vizur Tunapokea order kutoka kwako Karibu Mkuu tufanye kaz hakuna janja janjaTatizo la Watanzania unaweza kugeuzwa marketing officer or manager ukiletewa wateja the second order zinapita juu Kwa juu.....
Hope wew hautakua mwenye Tamaa oda zipo nyingi sana by then niwewai fanya hii kitu mwanza tulipiga pesa sana....
Na nguruwe tulikuaga tunafuga wenyewe....
Nikupongeze Kwa kutushirikisha kwenye hio fursa...
Shida ninayoiona hapo ni MojaMkuu biashara haifanywi kwa kutaka faida kubwa haraka haraka. Wewe unaona 500 kwa kilo moja ni hela ndogo sana sio?
Mkuu hatuna Tamaa hizo Faida tunayo pata inatosha kabisa Ondoa Shaka Sisi ni wafanya biashara Connection ni muhimu kwenye biashara zetu na watu wengi tuna fanya nao Kaz tu bila matatizo ukiwa na wasiwasi Sana Njoo Machinjioni chukua Nyama peleka ila sio kwa Bei hiyo 7000 ni 8000Shida ninayoiona hapo ni Moja
Mteja nitafute Mimi lakini nyama apeleke mwingine
Hivi unafikiri huyo mteja kesho atanitafuta Mimi au atanitafuta aliyempelekea?
Bora uniuzie nyama 7000 nipeleke mwenyewe kwa wateja wangu
Kutafuta mteja sio issue ndogo
Mkuu Sisi Tunapokea order kutoka kwako hatuitaji Mawasiliano ya mteja wako hatuna Tamaa hizo Faida tunayo pata inatosha kabisa Ondoa Shaka Sisi ni wafanya biashara Connection ni muhimu kwenye biashara zetu na watu wengi tuna fanya nao Kaz tu bila matatizo ukiwa na wasiwasi Sana Njoo Machinjioni chukua Nyama peleka ila sio kwa Bei hiyo 7000 ni 8000[
Wewe ni shoga yake?Mkuu umekuwa harsh sana. Hujatumia ustaarabu kumjibu hata kama umeona amekosea ungemwelekeza tu vizuri usingepungukiwa kitu.
Hii ni kwa DSM tu mkuu, huku tunakula rost kwa 12k hadi 18k inategemea na kiwanja..Duh! Biashara ni ngumu sana, fikiria Dodoma kuna mtaa unaitwa Michese unapata kitimoto iliyorostiwa kwa 9000 tu harafu niende kumshawishi mtu anunue kwa 8500 ikiwa mbichi
Hiyo Bei ya 9k ni nusu au kilo?Duh! Biashara ni ngumu sana, fikiria Dodoma kuna mtaa unaitwa Michese unapata kitimoto iliyorostiwa kwa 9000 tu harafu niende kumshawishi mtu anunue kwa 8500 ikiwa mbichi
Kuna haja ya kuhamia Dodoma1kg na ikiwa na kila kitu (rost kachumbari nk)
500 x 50 = 25,000Nyingi mbona mkuu tena online siko lipo wengi wanao tumia hii Nyama hawapendi kuonekana Eneo la tukio online kwao ni rahis Sana kupata order ya kila 50 kwa siku inawezekana apo utakuwa umeingiza 50,000
Mkuu uhakika mbona upo mm nasambaza Order 180 KG kwa siku kwa wateja tofautofauti Kitimoto inaliwa Sana hapa mjini ni wachache wanao weza kumaliza kilo ya Nyama Ng'ombe kwa mlo mmoja ila Kitimoto asilimia 80 Wana Uwezo wa kula 1KG kwa mlo mmoja soko lipo Kwa Dar pekee Zaidi ya KG 1000 Zinauzwa kila Sikuhakuna uhakika katika post yako,kuingiza pesa hiyo kwa siku, umezungumza kwa namna ya kudhaania so anything can happen
Ukiona fursa na ukihitaji kuilinda alafu wewe n middle man hakikisha unaaminika kwa mwenye Mali alafu kuwa na kianzio walau itakusaidia mfano unaoda ya 20kg kwa watu tofauti na cash unayo ya 8kg nenda kwa muuzaji nunua hyo 8kgX8,000= 64,000 nenda kasupply Rudi chukua hzo 12kg nenda kusupply hii itakuoa hata Uhuru wa kupanga Bei kulingana na mtaji wako.Tatizo la Watanzania unaweza kugeuzwa marketing officer or manager ukiletewa wateja the second order zinapita juu Kwa juu.....
Hope wew hautakua mwenye Tamaa oda zipo nyingi sana by then niwewai fanya hii kitu mwanza tulipiga pesa sana....
Na nguruwe tulikuaga tunafuga wenyewe....
Nikupongeze Kwa kutushirikisha kwenye hio fursa...🤓🤓😊😊
Mm Nazungumzia kwa Mazingira ya Dar pekee hata mbeya rost inauzwa 7000 Dar rost inauzwa 13k _ 25k Inatokana na Mazingira mkuuDuh! Biashara ni ngumu sana, fikiria Dodoma kuna mtaa unaitwa Michese unapata kitimoto iliyorostiwa kwa 9000 tu harafu niende kumshawishi mtu anunue kwa 8500 ikiwa mbichi
Asante Sana mkuu Kwa MsaadaUkiona fursa na ukihitaji kuilinda alafu wewe n middle man hakikisha unaaminika kwa mwenye Mali alafu kuwa na kianzio walau itakusaidia mfano unaoda ya 20kg kwa watu tofauti na cash unayo ya 8kg nenda kwa muuzaji nunua hyo 8kgX8,000= 64,000 nenda kasupply Rudi chukua hzo 12kg nenda kusupply hii itakuoa hata Uhuru wa kupanga Bei kulingana na mtaji wako.
Ni sahihi mkuu 25,000 kwenye mahesabu nimechanganya Unaweza kutengeneza kilo 50 _ 100 hii Ndo point500 x 50 = 25,000
Hizo hesabu zako umekokotoa namna gani mkuu?