Swala hili linathibitishwa na idadi ya viti vya udiwani na Ubunge ambavyo chama hiki kimekuwa kikivipata katika kila uchaguzi mkuu, tangu 1995. Leo tuangalie tu takwimu fupi za udiwani na ubunge kwa Chama hiki.
[TABLE="class: grid, width: 500"]
[TR]
[TD="align: center"]
Mwaka
[/TD]
[TD="align: center"]
Madiwani
[/TD]
[TD="align: center"]
Wabunge
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]
1995
[/TD]
[TD="align: center"]
42
[/TD]
[TD="align: center"]
4
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]
2000
[/TD]
[TD="align: center"]
75
[/TD]
[TD="align: center"]
5
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]
2005
[/TD]
[TD="align: center"]
103
[/TD]
[TD="align: center"]
11
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]
2010
[/TD]
[TD="align: center"]
467
[/TD]
[TD="align: center"]
49
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kwa mantiki hiyo, chadema kimekuwa kikikubalika zaidi kila miaka isogeapo. Wale wenye ndoto kuwa kitakufa, subirini kama hamtakiona kikiingia ikulu na nyie kubaki mnabung'aabung'aa tu.
Kwa wale mpendao grafu, takwimu hizi zinaweza kuonekana kama ifuatavyo. Chadema songeni mbele, hadi mfanikiwe kulikomboa taifa hili. Matumaini ya Watanzania wengi, hasa nguvu ya taifa (vijana), yako mikononi mwenu. Imarisheni umoja, mshikamano, maelewano na mapambano. Hatimaye mtalifikisha taifa letu pale ambapo CCM wameshindwa kwa zaidi ya miaka 50 sasa (nusu karne).
View attachment 97198