BAGAH JF-Expert Member Jan 17, 2012 4,523 1,058 Apr 11, 2012 #1 wadau hii mvua ya haja...i can't do nothing...(nimepatia?)...lol
Bishanga JF-Expert Member Jun 29, 2008 15,323 10,050 Apr 11, 2012 #2 Tulioko mabondeni sijui itakuwaje.
BAGAH JF-Expert Member Jan 17, 2012 4,523 1,058 Apr 11, 2012 Thread starter #3 Bishanga said: Tulioko mabondeni sijui itakuwaje. Click to expand... Mungu atusaidie...na wale wa ufukweni nao nasikia kitanuka!...6pm!
Bishanga said: Tulioko mabondeni sijui itakuwaje. Click to expand... Mungu atusaidie...na wale wa ufukweni nao nasikia kitanuka!...6pm!
SALOK JF-Expert Member Sep 20, 2011 3,308 1,924 Apr 11, 2012 #4 Du..!! Tuanzeni kuomba jama! Safari hii sijui watakuwa wangapi na pesa zoote wamemalizia kwa nanilii?
Du..!! Tuanzeni kuomba jama! Safari hii sijui watakuwa wangapi na pesa zoote wamemalizia kwa nanilii?