eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
utawala wa nyerere haya mambo hayakuwepo
basi ujamaa ulikuwa bora maana kila mtu alipiga kazi badala ya kuomba au unasemajeUnafikir kwa nn enz za nyerr hayakuwapo hayo ikiwa marekan nch yenye uchum imara kuna omba omba
Sasa elewa kuwa hayo mambo hayakuwapl kutokana na sera ya ujamaa na kujitegea sera ya kibabe ambayo kila mtu ataish atakula na kuvaa vile serikali inataka aliplkuja .winy katika soko hiria ombaomba madalali na wez wa mofukon wachezesha kamar wakaanza kuwa weng kwa sabab ya mfumo laki so hali ngumu hata kidogo
kuna stayle nyingi za kuomba
Huyu nae yumo
hii inawafanya wadada kula bila jasho piaPicha ya mwisho inatutoa kwenye mada
hapo hujakosea kabisa mkuukuna stayle nyingi za kuomba
KabisaPicha ya mwisho inatutoa kwenye mada
huyu wala hapati shida kuomba wanamfuata wenyewe tu mkuuOmba omba wa picha ya mwisho nimemuelewa aise
hiyo inamrahisishia kupataPicha ya mwisho haombi Bali mwenyew utatoa mfukon mwako bila kuomba
utawala wa nyerere haya mambo hayakuwepo
hii imenichekesha sanahiyo picha ya mwisho, aina hiyo ya omba omba wamekithiri sana siku hizi
hiyo inaitwa utakuja mwenyewe
Aargh!!! Huyu nae pia ni omba omba?