Nyambala JF-Expert Member Joined Oct 10, 2007 Posts 4,465 Reaction score 1,177 Sep 30, 2011 #2 Ule mradi uliofunguliwa kwa mbwembwe vp?
Emanuel Makofia JF-Expert Member Joined Jan 5, 2010 Posts 3,832 Reaction score 637 Sep 30, 2011 #3 Nyambala said: Ule mradi uliofunguliwa kwa mbwembwe vp? Click to expand... magumashi!
gwino JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 333 Reaction score 47 Sep 30, 2011 #4 Hiyo picha sehemu gani mkubwa
ndetichia Platinum Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,589 Sep 30, 2011 #5 hapa sio shy mahali ule mradi umepita lazima hapa pawe maswa kwani huo mradi uko kahama na shinyanga mjini tu..
hapa sio shy mahali ule mradi umepita lazima hapa pawe maswa kwani huo mradi uko kahama na shinyanga mjini tu..
Sajenti JF-Expert Member Joined Apr 24, 2008 Posts 3,651 Reaction score 416 Sep 30, 2011 #6 ndetichia said: hapa sio shy mahali ule mradi umepita lazima hapa pawe maswa kwani huo mradi uko kahama na shinyanga mjini tu.. Click to expand... ...au yaweza kuwa ni Meatu....maana kule nako bado gizano kweli kweli...
ndetichia said: hapa sio shy mahali ule mradi umepita lazima hapa pawe maswa kwani huo mradi uko kahama na shinyanga mjini tu.. Click to expand... ...au yaweza kuwa ni Meatu....maana kule nako bado gizano kweli kweli...
Makindi N JF-Expert Member Joined Mar 14, 2008 Posts 1,066 Reaction score 177 Sep 30, 2011 #7 Tanzania KAME inawezekana.........
Kiranja Mkuu JF-Expert Member Joined Feb 18, 2010 Posts 4,480 Reaction score 5,224 Sep 30, 2011 #8 Nyambala said: Ule mradi uliofunguliwa kwa mbwembwe vp? Click to expand... Rais mfanya mazingaombwe ni noma
Nyambala said: Ule mradi uliofunguliwa kwa mbwembwe vp? Click to expand... Rais mfanya mazingaombwe ni noma
Dumelambegu JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 1,052 Reaction score 260 Sep 30, 2011 #9 Hapo siyo shy wala kahama. Siku hizi hayo maeneo maji yapo bwerere labda ushindwe mwenyewe. Mradi umeleta ukombozi mkubwa sana shy japo nina wasiwasi kama kweli maji yatafika tabora kama ilivyoahidiwa na kilanja wa magamba.
Hapo siyo shy wala kahama. Siku hizi hayo maeneo maji yapo bwerere labda ushindwe mwenyewe. Mradi umeleta ukombozi mkubwa sana shy japo nina wasiwasi kama kweli maji yatafika tabora kama ilivyoahidiwa na kilanja wa magamba.