Hii ndio sensor kuu katika gari (master sensor)

Hii ndio sensor kuu katika gari (master sensor)

Kuna matatizo ni vyema kufanya diagnosis na kuona live data. Ila hivi wapo mafundi kweli hapa ambao wanaweza kusoma live data na kuzielewa ama ndio kusoma code basi mchezo umeisha? Maana kuna matatizo mengine bila live data utajikuta umepigwa chenga.

Sijajua.. Ingawa nimeshakiona kitu kimoja kwamba unakuta kaenda kupima kaambiwa hamna tatizo lolote kwa sababu tu hakuna code iliyodisplay.

Wakati kama huyo anayepima angezipitia live data angeweza kujua baadhi ya shida. Sababu live itakuambia kama hewa inayopita ni kidogo, kuna kuna mahali kuna leak kupitia fuel trims, Itakuambia rpm ni kiasi gani, joto la coolant ni kiasi gani, n.k. Na kutoka kwenye hizo data unaweza kujua mbivu na mbichi.
 
Sijajua.. Ingawa nimeshakiona kitu kimoja kwamba unakuta kaenda kupima kaambiwa hamna tatizo lolote kwa sababu tu hakuna code iliyodisplay.

Wakati kama huyo anayepima angezipitia live data angeweza kujua baadhi ya shida. Sababu live itakuambia kama hewa inayopita ni kidogo, kuna kuna mahali kuna leak kupitia fuel trims, Itakuambia rpm ni kiasi gani, joto la coolant ni kiasi gani, n.k. Na kutoka kwenye hizo data unaweza kujua mbivu na mbichi.
Unaweza kusema umerogwa kumbe Live data hazijasomwa zikakupa mwanga ukajua tatizo liko wapi 😀

Nataka sana kujifunza kusoma na kuelewa live data lakini sijui pakusomea na mda nao kikwazo.
 
Kiongozi mi nina prado 95, tatizo haikubali thermostat, nilinunua kwa mtu nikakuta haina thermostat, hivyo nikaamua niwekee, imekataa inachemsha, nimebadilisha thermostat zaidi ya 3, nikiweka tu inachemsha nikitoa Safi napeta, tatizo laweza kuwa ni nini?
Shida inaweza isiwe thermostat.

Shida inaweza kuwa kwenye sensor ambayo inatakiwa ifungue feni temperature ikifika inayotakiwa.

Nshawahi kuwa na hilo tatizo.
 
Unaweza kusema umerogwa kumbe Live data hazijasomwa zikakupa mwanga ukajua tatizo liko wapi 😀

Nataka sana kujifunza kusoma na kuelewa live data lakini sijui pakusomea na mda nao kikwazo.

Mkuu mimi Live data naweza kusoma...

Kama unaweza kupata mashine karibu maana kwa sasa sina mashine...
 
Mkuu mimi Live data naweza kusoma...

Kama unaweza kupata mashine karibu maana kwa sasa sina mashine...
Sasa ivi sina mashine, huwa natumia vile vidude vidogo vya obd2 scanner. Kwa lexus yangu ilikuwa vinasoma live data, lakini siku moja nilijaribu kwenye Altezza, ilikuwa hata haiconnect kupata walau code. Ninao mpango wa kununua Xtool moja kwa ajili ya hizi shughuli kwanza napambana na project yangu mpaka imaliza 😀

Speaking of which, ivi ukiblock fuel return line inaweza kuwa chanzo cha lile tatizo nlilokuwa nalo kwenye project yangu?
 
Sasa ivi sina mashine, huwa natumia vile vidude vidogo vya obd2 scanner. Kwa lexus yangu ilikuwa vinasoma live data, lakini siku moja nilijaribu kwenye Altezza, ilikuwa hata haiconnect kupata walau code. Ninao mpango wa kununua Xtool moja kwa ajili ya hizi shughuli kwanza napambana na project yangu mpaka imaliza 😀

Speaking of which, ivi ukiblock fuel return line inaweza kuwa chanzo cha lile tatizo nlilokuwa nalo kwenye project yangu?

Ndio inawezekana sababu cylinder zinakuwa flooded na mafuta.
 
Ndio inawezekana sababu cylinder zinakuwa flooded na mafuta.
Hapa ndio naona mawenge, 1G nliotoa ilikuwa haina return line na sifikiri kama hata lile fuel pump housing ilikuwa na return ya mle mle ndani.
Anyways, kuna ECU nyengine nimeagiza ntaipata kesho, nitaomba Mungu nione inakuaje.
 
Hapa ndio naona mawenge, 1G nliotoa ilikuwa haina return line na sifikiri kama hata lile fuel pump housing ilikuwa na return ya mle mle ndani.
Anyways, kuna ECU nyengine nimeagiza ntaipata kesho, nitaomba Mungu nione inakuaje.

Duh... Kila la heri bhana.
 
Hapa ndio naona mawenge, 1G nliotoa ilikuwa haina return line na sifikiri kama hata lile fuel pump housing ilikuwa na return ya mle mle ndani.
Anyways, kuna ECU nyengine nimeagiza ntaipata kesho, nitaomba Mungu nione inakuaje.

Mkuu ishu yako imefikia wapi? Gari imewaka?
 
Mkuu ishu yako imefikia wapi? Gari imewaka?
Bado haijawaka, ECU nloweka nayo kabla sikuwasha gari ikasema kuna same fault ya code 12 rpm signal na Code 14, nimeirudisha na kuweka ECU yangu ilokuja na engine. Nimeona tatizo sio ECU. Mafundi walinikosha kunambia niwaongeze dau wataniwashia, nikajua tayari wameingia tamaa.

Nimetafuta fundi mwengine atakuja kuishughulikia, lakini nae imekuwa tabu kumpata mana kazongwa sana.
 
Bado haijawaka, ECU nloweka nayo kabla sikuwasha gari ikasema kuna same fault ya code 12 rpm signal na Code 14, nimeirudisha na kuweka ECU yangu ilokuja na engine. Nimeona tatizo sio ECU. Mafundi walinikosha kunambia niwaongeze dau wataniwashia, nikajua tayari wameingia tamaa.

Nimetafuta fundi mwengine atakuja kuishughulikia, lakini nae imekuwa tabu kumpata mana kazongwa sana.

Duh pole. Nipo hapa mjini. Nikipata muda sijui nipite niangalie?
 
Mfano kama Nissan ambao ndio watumiaji wakubwa wa CVT wanashauri kubadili ATF kila baada ya 25,000 miles ambazo ni sawa na around 48,000 km. Pia asilimia kubwa ya manufacturers ambao wanamefunga CVT transmission kwenye gari zao wanashauri kubadili ATF baada ya kati ya 30,000 miles mpaka 50,000 miles ambayo ni sawa na around 48,000km mpaka 80,000km.

Hata kwa gearbox za kawaida huwa ni 15,000 miles mpaka 30,000 miles ambayo ni around 24,000km mpaka 40,000km ingawa wenye magari mengi hubadili ATF around 10,000km tu.

Lakini njia nzuri ambayo mimi ninaifahamu ni kuangalia mwonekano wa ATF ukichomoa dipstick. Na hii ni kwa automatic gearbox za aina zote.

1. Kama ni Pink basi ipo katika hali nzuri bado.

2. Kama ni brown basi itafanya kazi bila shida ila itahitaji kubadilishwa.

3. Kama ni nyeusi kimbia haraka sana ukamwage ATF uweke nyingine.
ATF ni hydraulic ya automatic hizi za kawaida zenye counter gear. CVTF ni ya gari zenye mfumo wa CVT transmission tu.

Sasa kuwa makini sana unavyotumia hizi abbreviations unaweza wamislead wasomaji.
 
Back
Top Bottom