FabNXTzqEtcgazfbjjfo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,583
- 2,140
DELETED
Umeelewa unieleweshe..?Heee , basi sawa[emoji3][emoji3][emoji3]
Mwenye Enzi Mungu haonekani kwa Sababu yeye hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Viumbe wake wapo walipo hana Upendeleo na Kiumbe Yeyote yule bali ana Enzi na Viumbe wake
Mungu akuogope wewe ili iweje wakati kakuumba. Anaogopaje lawama kwa Kiumbe wakeNdugu Mtafiti kuhusu Mungu, kuna wimbo Afande Sele alisema;
"....ndio maana Bwana Mungu amejificha haonekani, anaogopa lawama/ na watu wenye shida kumuandama/"
Weka neno ndugu mtafiti.
Mawazo ya kipumbavuMwenye Enzi Mungu haonekani kwa Sababu yeye hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Viumbe wake wapo walipo hana Upendeleo na Kiumbe Yeyote yule bali ana Enzi na Viumbe wake
Toa kwanza Imani ulizoambukizwa kuhusu Mungu ndipo utaelewa. Nimeshasema Mungu hakai na Viumbe wake Unaposema amekutenga inamaana wewe ni kiumbe Wake wa Pekee kuliko majini.. Malaika n.kKwahiyo unachomaanisha tukisali hatusikii na wala hatuoni??!!! Kwamba yeye yupo huko aliko,,na sisi tu huku tulipo ni kama umemaanisha ametutenga au nimekuelewa vibaya mkuu??!
mleta mada ndezi kweli wewe, hao majini uliowaongelea walitoka kwa nani kama sio kwa Mungu? Walikuwa ni malaika waliomwasi Mungu.
Kwa taarifa yako Mungu yupo na viumbe vyake na yupo mahali pote,
na malaika zake wema wapo kila mahali, ndo maana hayo majini uloyasema yakipigwa kwa neno la Mungu na Malaika zake kupitia watumishi wake yanalipuka na kukimbia.
Ni Viumbe... malaika ni viumbe au sio viumbe?
Upumbavu huo upo wapi nduguMawazo ya kipumbavu
Nimeliona jina lake tu: FabNXTzqEtcgazfbjjfo ikabidi niandike na kufuta mara 3Dah! Maisha yakikuendea kombo unaandika tu unachojisikia, Kila mtu atatoa Hesabu ya maneno yake
Mungu kaacha Muujiza wake. Unaotenda kazi.Kwahiyo unachomaanisha tukisali hatusikii na wala hatuoni??!!! Kwamba yeye yupo huko aliko,,na sisi tu huku tulipo ni kama umemaanisha ametutenga au nimekuelewa vibaya mkuu??!
Wewe hauuoni upumbavu wakoUpumbavu huo upo wapi ndugu
Usipojua ukweli huna HatiaDah! Maisha yakikuendea kombo unaandika tu unachojisikia, Kila mtu atatoa Hesabu ya maneno yake
Ukweli unaujua Ila unajitoa akili yaani unajifanya hamnazoUsipojua ukweli huna Hatia