Hii ndio rangi halisi ya Magufuli kwa upinzani, mengine yote ni maigizo

Hata mimi huwez kunizomea na kunitukana af kesho nikutengee bajeti unenepe, utajisifu sana....unitukane alaf nikuletee vitu vinono ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜.....Hata Mungu ukimtukana na kumzomea na kutomchagua kuwa kiongozi wa maisha yako usitegemee atakuletea maendeleo utapambana na hali yako mpak pale utakapomchagua...ni katka siasa tu hili linalazimishwa kutokea lakn mwsho wa siku wanagonga ukuta make hamna application ya kitu kama hcho popote pale...


Kwahiyo Mbeya nzima walimzomea??

Mbeya hamna CCM?
 
Wanasiasa hawajawai kuwa serious ni kama utani tu Hakirudi utasikia jamani safari hii mnichague ndugu zangu..Siasa itabaki kuwa siasa
 
Hata mimi huwez kunizomea na kunitukana af kesho nikutengee bajeti unenepe, utajisifu sana....unitukane alaf nikuletee vitu vinono ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜.....Hata Mungu ukimtukana na kumzomea na kutomchagua kuwa kiongozi wa maisha yako usitegemee atakuletea maendeleo utapambana na hali yako mpak pale utakapomchagua...ni katka siasa tu hili linalazimishwa kutokea lakn mwsho wa siku wanagonga ukuta make hamna application ya kitu kama hcho popote pale...
Una akili ndogo sana, aligombea kuwa rais wa ccm??? Aliapa kwa katiba ya ccm?? Ni bora kukaa kimya kuliko kuonyesha upumbavu wako.
 
Kwani fedha za hazina ni za baba yako? Nani aliiukupa milki ya kukataa kuwahudumia watu wanao lipa kodi kwa misingi ya mpaka wakuchague wewe tu ndipo uwahudumie , kwani huduma ulizo zikuta ulitiwa wewe unaongea utumbo kiasi hiko mkuu?

Umeumia kwa kukwambia ukweli mchungu, hakuna mtu anayeweza kufanya jambo jema zaid kwa mtu ambaye anajua kabisa hawapendani, hyo haipo na mpak unakufa hutaiona popote pale
KWANI ni uyole ndo hawakumchagua,maeneo mengi hakuchaguliwa kwa zaidi ya 60%

Mbna unaongea assumption, leta data kujustify unachotaka kutuaminisha

Ni upuuzi mtupu ulioandika. Afadhali ungeendelea kuandika kwa kuzingatia fikra zako lakini usimwingize Mungu katika hayo maneno ya kipuuzi.

Mungu wetu hatendi kwa hekima ya kibinadamu, ndiyo maana mara nyingi amewajalia mengi wale wasiomjua wala kumfuata, hata zaidi ya wale wamjuao, akaruhusu watu wake kuibeba misalaba yao ili wamfuate.

Anasema mimi ni Mungu mwenye wivu, Mungu huyu anapenda kusifiwa na kuabudiwa, na kamwe hajawah kukosea ndo anavyojitanabaisha kwetu..
Anasema tumuabudu ili tupate kuka mema ya nchi..sijajua unachokiongea umekitoa wap

Hiyo budget anaitoa wapi? Pesa ni ya watanzania kwa maendeleo ya watanzania,huyu mtu wenu hajielewi Wala hajui analofanya,bahati yake anaongoza wajinga hasa hada wanaccm Kama wewe

Kwan budget aliitoa uyole? Mapato ya uyole hayatoshi tu hata kugharamia miradi michache ya serikali inayoendelea pale...Miradi mikubwa inayohitajika uyole inahtaj cash ndefu na ni taahira tu anyeweza kupeleka mpunga mrefu kwa watu ambao hawakumweka madarakani,

Hapo umechemka. Wapo wengi waliomuasi MUNGU,kwa njia tofauti tofauti,lakini MUNGU bado hajawaacha,anawapa ridhiki yao kila siku ksbb ni haki yao hiyo. Umetoa mfano hata haundani kaanze upya

Unasoma maandiko gani ww...waovu hawana haki yyte kinachowabeba ni uaminifu wa watu wachache waliopo duniani...ngoja waaminifu waishe ndo ujue kwa nin alisema MIMI NI MUNGU MWENYE WIVU

Una akili ndogo sana, aligombea kuwa rais wa ccm??? Aliapa kwa katiba ya ccm?? Ni bora kukaa kimya kuliko kuonyesha upumbavu wako.

Katiba ni geresha tu ili kuleta haki na ambayo haipo, kila mtu ana kisasi moyoni hata ww hapo una roho mbaya sana kwa vitu fulani
 
Umeumia kwa kukwambia ukweli mchungu, hakuna mtu anayeweza kufanya jambo jema zaid kwa mtu ambaye anajua kabisa hawapendani, hyo haipo na mpak unakufa hutaiona popote pale


Mbna unaongea assumption, leta data kujustify unachotaka kutuaminisha



Anasema mimi ni Mungu mwenye wivu, Mungu huyu anapenda kusifiwa na kuabudiwa, na kamwe hajawah kukosea ndo anavyojitanabaisha kwetu..
Anasema tumuabudu ili tupate kuka mema ya nchi..sijajua unachokiongea umekitoa wap



Kwan budget aliitoa uyole? Mapato ya uyole hayatoshi tu hata kugharamia miradi michache ya serikali inayoendelea pale...Miradi mikubwa inayohitajika uyole inahtaj cash ndefu na ni taahira tu anyeweza kupeleka mpunga mrefu kwa watu ambao hawakumweka madarakani,



Unasoma maandiko gani ww...waovu hawana haki yyte kinachowabeba ni uaminifu wa watu wachache waliopo duniani...ngoja waaminifu waishe ndo ujue kwa nin alisema MIMI NI MUNGU MWENYE WIVU



Katiba ni geresha tu ili kuleta haki na ambayo haipo, kila mtu ana kisasi moyoni hata ww hapo una roho mbaya sana kwa vitu fulani
Mkuu unaruka ruka tu hujibu hoja,swali ni je hiyo pesa anaitoa wapi? Au huo mpunga mrefu anautoa wapi? Je hao waliompa kura ni akina nani na waishi wapi? Je amefanya nini Cha maana huko wanakoishi watu waliosimama mpa kura?
 
"Nyie watu wa Uyole mlinikataa 2015. Mkitaka maendeleo chagueni CCM 2020"

#MyTake:
Inasikitisha sana maneno haya kutamkwa na mtu ambaye siku zote amekuwa akihubiri kuwa maendeleo hayana chama. Inasikitisha zaidi kwamba juzi ilikuwa ni siku ya ibada na alishiriki. Hakika Mungu wetu ni wa huruma sana.!

Na G malisa

Pamoja na

Na, J.R.Malale.

Ziara ya jpm jijini Mbeya yaleta utata kwa Mbunge Wa upinzani Mbeya, hii ni baada ya kauli tata za jpm kule uyole,

1. Nyie watu wa uyole mlinikataa 2015.
2. Mkitaka maendeleo chagueni ccm 2020.
3. Mbunge wenu ameshindwa kuwataftia soko la mazao yenu.
4. Uyole imeendelea naona majengo mazuri nawapenda sana.
5. Tunampango wa kujenga njia 4 za barabara kurahisisha usafri.

HEBU TUJIULIZE KWA MAKINI .
1. Jpm anawakumbuka uyole kwa kumkataa.

2. Jpm hataki uvyama kwenye maendeleo wakati huohuo anataka tuchague ccm ili tupate maendeleo, sasa tatizo ni pale ambapo tunaona maeneo ya upinzani ndiyo yana maendeleo makubwa kuliko hata ya ccm.

3. Je Mbunge anatafta masoko au anapeleka hoja bungeni ili serikali itafute masoko??

Mkoa wa Mbeya unawabunge wengi wa ccm, je ni yupi katafta masoko ya mazao??? Au sugu Tu ndo alipaswa atafte??

Kama mazao hayana soko nchi hii, unampaje lawama Mbunge ikiwa serikali ya wanyonge unayoiongoza imeshindwa kuiongoza?

Mikoa mingi sana inawabunge wa ccm lakini wananchi hawana masoko mfano SONGEA, rukwa, n.k je na huko utasingizia wabunge?

Uyole imeendelea ni kweli, licha ya kuwa Na Mbunge wa upinzani, kumbe kwa maana hiyo hatuhitaji ccm ili tuendelee.

5. Mbunge wa Mbeya alitoa hoja ya kuhitaji njia 4 za barabara hukumjibu kwa sababu za kisiasa, umekuja kumjibu sasa tunakushukuru sana na tunakuomba usiwambie watu wachague wabunge wa chama chako, tuache tuchague tunaempenda kwa sababu TRA, wanapokusanya kodi hawatuulizi vyama, wanachukua kodi za vyama vyote, hivyo maendeleo ni haki ya kodi zetu huenda tusiwape ccm kura tena kwa sababu hata hata walikochagua ccm hakuna cha ajabu kuzidi kwa wapinzani, matatizo ni yaleyale maji Hamna , barabara mbovu, masoko ya mazao hamna, pembejeo Hanna n.k.

6. Sugu hajawahi kuwa Na tamaa wala hakuwahi kutajwa kuiba, tunamuona, tunamsikia akiwasilisha hoja zetu bungeni kikamilifu ndo maana tunampenda, hatutaki utulazishe tuchague ccm,

Siasa chafu kwenye ziara hii ni kitu cha ajabu kidogo.

Mbeya inamchango mkubwa kwenye pato la taifa. Tunaomba haki yetu ya maendeleo wala hatuhitaji mtu aje kutugawia 2000 wala chumvi

Na tunahitaji masoko, tunahitaji miundombinu. Bila kujari Mbunge wetu anatoka chama gani,

Kama unaona kupeleka maendeleo kwa majimbo yenye upinzani ni vibaya, basi tunakushukuru sana mkuu tuliekuamini utuongoze , tutavumilia mpaka umalize mda wako.
Namchukia sana huyu mtu! Ewe Mwenyezi Mungu nisamehe! Hawezi siasa za ushindani, anataka awe kama mfalme hivi!
 
Hata mimi huwez kunizomea na kunitukana af kesho nikutengee bajeti unenepe, utajisifu sana....unitukane alaf nikuletee vitu vinono ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜.....Hata Mungu ukimtukana na kumzomea na kutomchagua kuwa kiongozi wa maisha yako usitegemee atakuletea maendeleo utapambana na hali yako mpak pale utakapomchagua...ni katka siasa tu hili linalazimishwa kutokea lakn mwsho wa siku wanagonga ukuta make hamna application ya kitu kama hcho popote pale...
Weye bado una hangover yenye kujaa deko la CCM kwamba eti hutoi hela!Hizo hela ni za kwako?Ulizitoa wapi?Umejibu kitoto sana kama siyo kiuwendawazimu.
 
Kwan kuna eneo limetengwa kwa ajil ya wacha Mungu pekee na lingine kwa waovu pekee mpak mvua ibague...hata huko Uyole miradi ya serikali ni Mingi tuu, ila kwa kiwango kile wanachotaka wao itakuwa ngumu...Nafsi ya mtu yyte huwa ina asili ya kisasi japo zinatofautiana viwango....hakuna haja ya kujivika ngozi ya kondoo wakat uhalisia upo waz....swala ni moja tuu mchagueni jamaa awaletee maendeleo basii
Ukisikia upuuzi ndio huu sasa!
 
"Nyie watu wa Uyole mlinikataa 2015. Mkitaka maendeleo chagueni CCM 2020"

#MyTake:
Inasikitisha sana maneno haya kutamkwa na mtu ambaye siku zote amekuwa akihubiri kuwa maendeleo hayana chama. Inasikitisha zaidi kwamba juzi ilikuwa ni siku ya ibada na alishiriki. Hakika Mungu wetu ni wa huruma sana.!

Na G malisa

Pamoja na

Na, J.R.Malale.

Ziara ya jpm jijini Mbeya yaleta utata kwa Mbunge Wa upinzani Mbeya, hii ni baada ya kauli tata za jpm kule uyole,

1. Nyie watu wa uyole mlinikataa 2015.
2. Mkitaka maendeleo chagueni ccm 2020.
3. Mbunge wenu ameshindwa kuwataftia soko la mazao yenu.
4. Uyole imeendelea naona majengo mazuri nawapenda sana.
5. Tunampango wa kujenga njia 4 za barabara kurahisisha usafri.

HEBU TUJIULIZE KWA MAKINI .
1. Jpm anawakumbuka uyole kwa kumkataa.

2. Jpm hataki uvyama kwenye maendeleo wakati huohuo anataka tuchague ccm ili tupate maendeleo, sasa tatizo ni pale ambapo tunaona maeneo ya upinzani ndiyo yana maendeleo makubwa kuliko hata ya ccm.

3. Je Mbunge anatafta masoko au anapeleka hoja bungeni ili serikali itafute masoko??

Mkoa wa Mbeya unawabunge wengi wa ccm, je ni yupi katafta masoko ya mazao??? Au sugu Tu ndo alipaswa atafte??

Kama mazao hayana soko nchi hii, unampaje lawama Mbunge ikiwa serikali ya wanyonge unayoiongoza imeshindwa kuiongoza?

Mikoa mingi sana inawabunge wa ccm lakini wananchi hawana masoko mfano SONGEA, rukwa, n.k je na huko utasingizia wabunge?

Uyole imeendelea ni kweli, licha ya kuwa Na Mbunge wa upinzani, kumbe kwa maana hiyo hatuhitaji ccm ili tuendelee.

5. Mbunge wa Mbeya alitoa hoja ya kuhitaji njia 4 za barabara hukumjibu kwa sababu za kisiasa, umekuja kumjibu sasa tunakushukuru sana na tunakuomba usiwambie watu wachague wabunge wa chama chako, tuache tuchague tunaempenda kwa sababu TRA, wanapokusanya kodi hawatuulizi vyama, wanachukua kodi za vyama vyote, hivyo maendeleo ni haki ya kodi zetu huenda tusiwape ccm kura tena kwa sababu hata hata walikochagua ccm hakuna cha ajabu kuzidi kwa wapinzani, matatizo ni yaleyale maji Hamna , barabara mbovu, masoko ya mazao hamna, pembejeo Hanna n.k.

6. Sugu hajawahi kuwa Na tamaa wala hakuwahi kutajwa kuiba, tunamuona, tunamsikia akiwasilisha hoja zetu bungeni kikamilifu ndo maana tunampenda, hatutaki utulazishe tuchague ccm,

Siasa chafu kwenye ziara hii ni kitu cha ajabu kidogo.

Mbeya inamchango mkubwa kwenye pato la taifa. Tunaomba haki yetu ya maendeleo wala hatuhitaji mtu aje kutugawia 2000 wala chumvi

Na tunahitaji masoko, tunahitaji miundombinu. Bila kujari Mbunge wetu anatoka chama gani,

Kama unaona kupeleka maendeleo kwa majimbo yenye upinzani ni vibaya, basi tunakushukuru sana mkuu tuliekuamini utuongoze , tutavumilia mpaka umalize mda wako.
Mwenye short video atupie please!!!
 
"Nyie watu wa Uyole mlinikataa 2015. Mkitaka maendeleo chagueni CCM 2020"

#MyTake:
Inasikitisha sana maneno haya kutamkwa na mtu ambaye siku zote amekuwa akihubiri kuwa maendeleo hayana chama. Inasikitisha zaidi kwamba juzi ilikuwa ni siku ya ibada na alishiriki. Hakika Mungu wetu ni wa huruma sana.!

Na G malisa

Pamoja na

Na, J.R.Malale.

Ziara ya jpm jijini Mbeya yaleta utata kwa Mbunge Wa upinzani Mbeya, hii ni baada ya kauli tata za jpm kule uyole,

1. Nyie watu wa uyole mlinikataa 2015.
2. Mkitaka maendeleo chagueni ccm 2020.
3. Mbunge wenu ameshindwa kuwataftia soko la mazao yenu.
4. Uyole imeendelea naona majengo mazuri nawapenda sana.
5. Tunampango wa kujenga njia 4 za barabara kurahisisha usafri.

HEBU TUJIULIZE KWA MAKINI .
1. Jpm anawakumbuka uyole kwa kumkataa.

2. Jpm hataki uvyama kwenye maendeleo wakati huohuo anataka tuchague ccm ili tupate maendeleo, sasa tatizo ni pale ambapo tunaona maeneo ya upinzani ndiyo yana maendeleo makubwa kuliko hata ya ccm.

3. Je Mbunge anatafta masoko au anapeleka hoja bungeni ili serikali itafute masoko??

Mkoa wa Mbeya unawabunge wengi wa ccm, je ni yupi katafta masoko ya mazao??? Au sugu Tu ndo alipaswa atafte??

Kama mazao hayana soko nchi hii, unampaje lawama Mbunge ikiwa serikali ya wanyonge unayoiongoza imeshindwa kuiongoza?

Mikoa mingi sana inawabunge wa ccm lakini wananchi hawana masoko mfano SONGEA, rukwa, n.k je na huko utasingizia wabunge?

Uyole imeendelea ni kweli, licha ya kuwa Na Mbunge wa upinzani, kumbe kwa maana hiyo hatuhitaji ccm ili tuendelee.

5. Mbunge wa Mbeya alitoa hoja ya kuhitaji njia 4 za barabara hukumjibu kwa sababu za kisiasa, umekuja kumjibu sasa tunakushukuru sana na tunakuomba usiwambie watu wachague wabunge wa chama chako, tuache tuchague tunaempenda kwa sababu TRA, wanapokusanya kodi hawatuulizi vyama, wanachukua kodi za vyama vyote, hivyo maendeleo ni haki ya kodi zetu huenda tusiwape ccm kura tena kwa sababu hata hata walikochagua ccm hakuna cha ajabu kuzidi kwa wapinzani, matatizo ni yaleyale maji Hamna , barabara mbovu, masoko ya mazao hamna, pembejeo Hanna n.k.

6. Sugu hajawahi kuwa Na tamaa wala hakuwahi kutajwa kuiba, tunamuona, tunamsikia akiwasilisha hoja zetu bungeni kikamilifu ndo maana tunampenda, hatutaki utulazishe tuchague ccm,

Siasa chafu kwenye ziara hii ni kitu cha ajabu kidogo.

Mbeya inamchango mkubwa kwenye pato la taifa. Tunaomba haki yetu ya maendeleo wala hatuhitaji mtu aje kutugawia 2000 wala chumvi

Na tunahitaji masoko, tunahitaji miundombinu. Bila kujari Mbunge wetu anatoka chama gani,

Kama unaona kupeleka maendeleo kwa majimbo yenye upinzani ni vibaya, basi tunakushukuru sana mkuu tuliekuamini utuongoze , tutavumilia mpaka umalize mda wako.
Nasema hivi iko siku mbeya tutakuja kudai Uhuru wetu na tutakuja kujitenga na Tanzania ,
 
Back
Top Bottom