daniel merengo
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 277
- 98
Mara baada ya vyama vikubwa vya upinzani nchini nikimaanisha NCCR,CUF na CHADEMA kuonyesha nia kuungana na kuwa kitu kimoja baada ya mchakato wa katiba mpya kuanza imeonekana ni KITANZI kwa chama cha mafisadi CCM.
Kinachoonesha kwamba hii ndio pumzi ya ccm kuwa madarakani baada ya hivi vyama kuungana, LEO kwenye vichwa vya magazeti ya jamboleo,habari leo na uhuru wamekuja na CD ya kitoto kweli eti wanasema gari la MBOWE lakamatwa kenya likihusishwa na ugaidi. HIVI kweli haya magazeti wahalili wake sio mateja kweli?
Hiki kinachofanywa na haya magazeti ya chama cha mateja,mafisadi na wezi wa mali ya umma ni harakati za kutaka hivi vyama visiungane na visambaratike. kwa kuanzisha vihoja vya kipumbavu eti gari la mbowe linahusika na ugaidi kenya.
lakini ninajua hizi hila za kitoto haziwezi kukesha kama ilivyo ngoma ya watoto
UKAWA kazeni buti kwa sababu hii ni saa ya ukombozi
Kinachoonesha kwamba hii ndio pumzi ya ccm kuwa madarakani baada ya hivi vyama kuungana, LEO kwenye vichwa vya magazeti ya jamboleo,habari leo na uhuru wamekuja na CD ya kitoto kweli eti wanasema gari la MBOWE lakamatwa kenya likihusishwa na ugaidi. HIVI kweli haya magazeti wahalili wake sio mateja kweli?
Hiki kinachofanywa na haya magazeti ya chama cha mateja,mafisadi na wezi wa mali ya umma ni harakati za kutaka hivi vyama visiungane na visambaratike. kwa kuanzisha vihoja vya kipumbavu eti gari la mbowe linahusika na ugaidi kenya.
lakini ninajua hizi hila za kitoto haziwezi kukesha kama ilivyo ngoma ya watoto
UKAWA kazeni buti kwa sababu hii ni saa ya ukombozi