Nitafutie CD yenye wimbo wa Kofii Olomide "AMUFILA MUYAYA...Nangali kwa ba mutu ya bhasi kitoko.... tehteehhh
Nitafutie CD yenye wimbo wa Kofii Olomide "AMUFILA MUYAYA...Nangali kwa ba mutu ya bhasi kitoko.... tehteehhh
Hahahaha.....Nitafutie CD yenye wimbo wa Kofii Olomide "AMUFILA MUYAYA...

Kamfanyaje muhaya?Nitafutie CD yenye wimbo wa Kofii Olomide "AMUFILA MUYAYA...
Chizi weNimeshtuka nilijua ni mito ya kulalia😀😀😀
Asante Super women 2Chizi we
Naaam mkuuKweli mto huu unavutia sana hasa ukitazama jinsi unavyo poromoka kutoka milima ya Mitumba takriban 100 km magharibi ya Lumbumbashi, ukaja kumalikia kusini mwa bahari Atlantiki....
Hakika inapendeza.....![]()
![]()
![]()
Uko fasi ya kolwezi ,HahahaNangali kwa ba mutu ya bhasi kitoko.... tehteehhh
Si ndio Hii ya Bwana Mdogo Joseph Kabila?DRC, zamani Zaire
AnacondaAsante kwa kunijuza. Ungeelewesha na viumbe wanaoishi kando ya hiyo misitu ningefurahi sana

Kumbe ndio maana KING LEOPARD II wa Ubelgiji akikuwa anataka mto CONGO uwe chini ya himaya yake.
RIVER CONGO una matawi mawili ambayo ni KASAI na UBANGI