Hii ndio mikosi ya safari ya mwanza leo

Kwa ndugu zangu mnaoenda Bukoba, kuna fimbo huko hasa kutoka Kahama hadi Rusahunga sio sana ila kutoka Rusahunga

kuja kulikata poli la Kassindaga na kwa mwezi huu wa mavuno kukwepa kiboko au lugha rahisi fimbo ni kwa NADRA

NA SIJUI NI KWA NN SERIKARI IMEPASHINDWA HAPA!!!?

Fimbo gani tena hizo, fimbo hizi za kawaida kama za darasani?
 
Mkuu hakuna pori ni vijiji tu but hiyo ndo sehemu kubwa ambapo magari hutekwa.ukitoka shy ukafika misungwi hasa kuanzia mida ya saa 3 ucku shukuru Mungu.majambaz huwa wana kiroli wanachotumia kubebea mawe.ukiwa una drive wanajitahid wa kuovertake,wakikuovertake tu wanabinua mawe road kuziba njia.ndo utajua dunia rangi rangire.au huwa wanapaki maeneo ya maganzo nje kidogo na mji.basi likipita mwenzao anawapigia cm kuwajulisha.wakiliona linakaribia wanachomekea kiroli kwa mbele mziki unaanza

Kama wanateka maeneo hayo basi huenda ni watu wanaofahamika, hata polisi wanawafahamu...! Nna wasiwasi na watu wa maganzo, maana pale hapaeleweki kabisaa, nadhani ni vizuri mabasi yawe yanasindikizwa na askari wenye siraha kutokea shinyanga mpaka mwanza! Au wapige operation ya kutosha hao wezi wote wapigwe ndani, nina uhakika wanafahamika kabisaa! Hizi mambo najua ni kule Mkoa wa Kigoma na Kagera kule kwenye muingiliano na wakimbizi, loh!
 
very profesheno.

mkuu siku ukiwa unaenda mwz kama itafika mida ya saa 3 usiku ndo unaondoka shy,jitahidi sana usiovertekiwe na gariya aina yeyote.unless uwe sure ni gari gani inakuovertake.otherwise,kandamiza pedo ifike kwenye bati,speed iwe mia kwa 120,chini ya hapo itakula kwako.wenyeji wanajiita "farasi wa maganzo mwenye kwato za dhahabu" akikuovertake tu hesabu hasara
 
hizo ni baadhi ya picha za wanajeshi wakimpa kichapo dereva wa basi tulilokuwa tumepanda
 

Attachments

  • Photo0830[1].jpg
    Photo0830[1].jpg
    30.6 KB · Views: 228
  • Photo0831[1].jpg
    Photo0831[1].jpg
    27 KB · Views: 202
  • Photo0832[1].jpg
    Photo0832[1].jpg
    31.5 KB · Views: 180
hizo ni picha za wanakijiji walivyoziba barabara
 

Attachments

  • Photo0833[1].jpg
    Photo0833[1].jpg
    30.3 KB · Views: 204
  • Photo0834[1].jpg
    Photo0834[1].jpg
    41.5 KB · Views: 187
Leo nilikuwa na safari ya kuja mwanza lkn safari imejaa vikwazo na majanga ya hapa na pale.toka tunatoka ubungo ilianza mikosi kwa kufaurishwa kwenye basi la KAMBA'S

kama kawaida ya folen dar nachokilikuwa kikwazo kingine.
Tulianza safari kufika mbez gar ikasumbua ikarekebishwa safari ikaendelea.

Kabla hatuja maliza morogoro dereva akapokea kichapo kikali toka kwa wanajeshi baada ya kuwachomekea.

Safari ikaendelea maeneo ya manyoni tukakutana na majanga mengine barabara ilizibwa na wanakijiji baada ya kupanga mawe na magogo barabaran kwa madai ya kuwa mwenzao kagongwa na gari na kufariki.
Sasa tumelala shinyanga ni baada ya kusikia ya kuwa gari zilizo tangulia zimetekwa picha za matukio ninazo nitaziweka soon

weka picha hii si fb
 
We mbea mbona kchapo hatukion?

mkuu umbea wangu nn hasa ?? hembu angalia hiyo picha ya kwanza huyo mwenye t shirt ya blue bahari waliye mkwida ndio dereva mwenyewe ? ww ulitaka uone kichapo kivipi sijakusoma mkuu
 
hivi kumbe ni ww ndio ulikuwa unajichekesha chekesha na kujipitisha karibu yangu??
duuuu mm hata sikukutambua pole sana bana kwakukutolea mbavuni?

Yaan mie nijichekeshe??? Hujui umefunga safari toka dar kwa ajili yangu??? Na hapa utakaa mwezi mzima...
 
Yaan mie nijichekeshe??? Hujui umefunga safari toka dar kwa ajili yangu??? Na hapa utakaa mwezi mzima...

teh teh teh teh teh teh teh teeeeee kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiii pole yako nilisha sepa kitambo imekula kwako nilikudanganya tu jamani mm now nipo dar
 
Back
Top Bottom