Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Kama ume plan kufanya biashara Fulani then ukafanya hesabu ukakuta inahitaji 1milioni na wewe unakihasi hicho cha Pesa usianze na mtaji kamili cha kufanya chukua laki tano anza hivyo hivyo kwa tabu ili kujua biashara inachangamoto gani au inahitaji uongeze mtaji kwenye sehemu ipi ya biashara,kwa kufanya hivyo itakuwa rahisi ya wewe kusoma biashara zaidi kuliko kuanza na mtaji wote,pia itakuwa rahisi pia kubadili gia angani ukiona biashara hiyo imekukataa,biashara haitegemei Sana mtaji Bali biashara inategemea mzunguko,mfano unaweza ukawekeza 1milioni halafu ukawa unafanya mauzo sawa na yule aliyewekeza Laki nne!niishie hapo kwa leo