Hii ndio maana ya ndugu lawama

Hii ndio maana ya ndugu lawama

Nouma sana Mkuu mwenzetu. Ila njia rahisi ni kuweka msimamo wako wazi, nilijifunza namna ya kudili na mkuda/mnafiki ni kumwambia upfront unafiki wake. Usimlee kabisa mnafiki/mkuda au mtu wa husda pia mtu asiyekuheshimu usimchekee kabisa. Kuwa mkali chapu na umalizane naye mara moja, in a hardest way possible
Hii ndiyo huwa naipenda siwezi cheka na kima, unamalizana nae on spot, familia nyingi hasa za kiafrika husda ni mwingi sana mpaka kulogana, kisa kikubwa ni mashindano ya kimafanikio, unajikuta wewe hushindani na mtu lakini utapigwa vita hizi familia za kiafrika choyo sana,
 
Duh sijui ndugu wa aina hyo mna watoa wapi.

Mm kwetu ni masikini. Lkn katika safari ya kusoma kwangu. Sina ninacho wadai ndugu zangu. Walinibeba walivo weza wakaja kunitua SUA mwaka wa kwanza.

Siku nilivo kamilisha usajili na kuanza kupewa boom ndo ikawa mwisho wa mbeleko [emoji16] wakasema sasa umekua jibebe. Na kweli ilinisaidia kujitambua nikiwa chuo. Mpaka sasa sijawai lilia mtu shida, na nikikwama nakopa kama mdau yeyote yule.

Hivyo swala la ndugu kuto wasaidia tunalikuza tu. Huenda nao wanapitia hali ngumu kama sisi ila hawajasema
Wewe unabahati ulipewa boom nahisi ungebwagwa na boom Hauna ungemwelewa mleta mada
 
Back
Top Bottom