Hii ndio ile unasikia sizitaki mbichi hizi baada ya kuzikosa

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Aug 12, 2014
4,052
12,906
Baada ya serikali yetu ya Tanzania kunyimwa mkopo usio na riba na wenye grace period ya miaka 10 wa IMF na World Bank, baadhi ya viongozi wameanza majungu ya sizitaki mbichi hizi.

Waziri wa fedha alitangaza bungeni kua wameomba mkopo usio na riba kutoka IMF ili kukabiliana na madhara ya corona ila inaonekana wamekosa sasa ni majungu na vijembe kama ya wake wenza.
20200519_191213.jpg
Screenshot_20200519-191041_Chrome.jpg

Ukiangalia picha ya kwanza eti Kigwangala anajifanya kushangaa nchi za Kenya, Uganda na Rwanda kuingia kwenye madeni makubwa, anasahau kua sisi tuliomba na tumenyimwa pamoja na kudanganya. Huu ni wivu tu wa kuzikosa hizo hela hata sisi tulizitaka sana.
 
Tumezikosa?
Wewe unaeleta hii porojo pamoja na kuzikosa je umehamia huko walikozipata au bado unaishi humu Tanzania?

Je unafaidika au unaumia?

Je hata kama mkopo una grace period ya miaka kumi, je baada ya miaka kumi thamani ya dola itakuwa kiasi gani?

Je ni vema kumkopesha mgonjwa?

Je unayajua vyema malengo na nia ya hayo mashirik makubwa ya WB na IMF pale yanapokimbilia kuzikopesha nchi hizi za kiafrika katika kipindi kigumu kama hiki?

Tatizo tuna vijana wajinga mliosoma lakini elimu ambayo haikuwapa weledi au maarifa ya kujitambua kwa nini mpo hapo mlipo, mmekomaa kuwaza umimi na uwewe tupu,

Mmejaa husda za kisiasa tupu.

Mlienda shule kusomea wizi badala ya maarifa na pale wizi unapokwama mnajaa sumu kama kobra

Hamna tofauti na shwine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom