Hii ndio Dunia

Hii ndio Dunia

Kikwete hayupo maana hakosi humo
Utakuta vikao vya G7 nayeye anahudhuria
 
ha ha ha ha eti kaka ake membe yuko api apo
 
Toka lini!?...ni mpaka 2050..Na apo ni iwapo tuu uchumi wa U.S utakua stagnant....
pitia kwe web ya world bank uone

Uko nyuma sana ya wakati SirChief. China is the largest economy toka mwaka Jana. Hao wakitoka hapo wanaenda kukopa China. Kisha wanakuja kutukopesha sisi kupitia hiyo World Bank yao!
 
Usawa uko wapi hapo ? wanaume wote hao na mwanamke mmoja tu , bado wanawake hawapewi haki zao huko G7
 
From left, President of the European Council Donald Tusk, Japanese Prime Minister Shinzo Abe, Canadian President Stephen Harper, President Obama, German Chancellor Angela Merkel, French President Francois Hollande, British Prime Minister David Cameron, Italian Prime Minister Matteo Renzi and President of the European Commission Jean-Claude Juncker pose at the group photo at the summit of G-7 nations at Schloss Elmau near Garmisch-Partenkirchen, Germany.
635692761590330371-01.jpg

As they think how to run the world,...we think how to live the world.
 
Uko nyuma sana ya wakati SirChief. China is the largest economy toka mwaka Jana. Hao wakitoka hapo wanaenda kukopa China. Kisha wanakuja kutukopesha sisi kupitia hiyo World Bank yao!

Sorry utakua hukuelewa, china ni largest economy kwenye purchasing power mkuu,kasome vizuri tena usifanye mambo kishabiki.
 
Nafasi za kupewa huko hakuna. Ni ama unaweza au hauwezi hizi za kupewa pewa ni kujitakia viongozi wazembe wasiojua wanatakiwa wafanye nini.

Usawa uko wapi hapo ? wanaume wote hao na mwanamke mmoja tu , bado wanawake hawapewi haki zao huko G7
 
Kwani huko yaeda chini haujakutana nao,...mmmmmh

Kuna mmoja nilipita kwake 10 Downing Street kwa chai yeye sikumkuta........ndio nataka nimjue...........yupo hapo.........?.......
 
Sorry utakua hukuelewa, china ni largest economy kwenye purchasing power mkuu,kasome vizuri tena usifanye mambo kishabiki.

Kwenye comment yangu niliandika China ni largest economy, siku specify kwenye nini. Hata hivyo, Vigezo vya uchumi vinatoka imf, WB, UN, na CIA. Na data pia zinatoka huko huko na kutangazwa na CNN, FOX na BBC!

Lakini hata kwa vigezo vya WB 2014, GDP ya China ilikuwa $10.4 trillion, UK ilikuwa 2.9 Trillion, Canada 1.9!. Sasa kama nani anapaswa kuwa kwenye G7 kati ya hao?.
 
Kwenye comment yangu niliandika China ni largest economy, siku specify kwenye nini. Hata hivyo, Vigezo vya uchumi vinatoka imf, WB, UN, na CIA. Na data pia zinatoka huko huko na kutangazwa na CNN, FOX na BBC!

Lakini hata kwa vigezo vya WB 2014, GDP ya China ilikuwa $10.4 trillion, UK ilikuwa 2.9 Trillion, Canada 1.9!. Sasa kama nani anapaswa kuwa kwenye G7 kati ya hao?.
China haipo G7 kwa sababu ya kwamba ni developing economy na sio developed economy hao G7 ni developed economies, ukiangalia hata Brazil ina GDP kubwa kuliko ya UK ila haiko kwenye G7 kwa kua wao china,brazil,south korea nk wako kwenye uchumi unaokua.

Uliposema tu kwamba china ni largest economy na ukakaa kimia ndio maana nikajaribu kukuweka sawa yeye china anarule wapi.
Nadhani hiyo ndio sababu.
 
Back
Top Bottom