Sasa we hoja yako Ni ipi, maana nilitegemea waliopo madaraka I Tena karibu na chama kule kwenye majimbo yao Mambo Safi ili upate moral authority ya kumsema Lissu lakini Kama mnafanana. Mwache aseme muda ukifika wapiga kura wake wataamua.Hao uliowataja wako kwa mabeberu wanahubiri na kuunga mkono Ushoga!?
Hahaha umjibu hoja gani Lissuu..hivi unamuona ana hoja yule..si ni kama amechanganyikiwa, we unqvyomuona yuko sawa..? Ni kama amerukwa na akili fulani hivi..hayuko sawa..you can tell even by looking..!!Nawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.
Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bungeni la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.
Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.
Dawa ya hoja ni hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vigumu kwa CCM kumjibu kwa Hoja kwa sababu mfumo wa Uongozi kwa awamu hii ya tano upo kienyeji yaani kuna Rais kisha Naibu Rais na mshauri mkuu ambaye anatumia style za yule mshauri wa marehemu Iddy Amin dada aliyekuwa akijulikana kwa jina la Maliyamungu ni mtu aliyekuwa na roho mbaya sana kama Daud Arbaty Bashite na cyprian Musiba ni vigumu wajenge hoja kwa Sababu ushauri wa Bashite kwa mtukufu malaika toka chato ni biashara kubwa sana wao wanalipwa mabilioni kwenye miladi ya kudhoofisha chadema na kuua upinzani kwa ujumla, wakikalia hoja watakosa pesa.Nawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.
Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bungeni la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.
Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.
Dawa ya hoja ni hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
huwezi kubishana na kichaa na wewe utakuwa kichaa.....hatuko hapa kumuangalia mtu mmoja akiwadanganya watanzania akiwa ndani na nje ya nchi hatuwezi kuhangaika na mtu anayewajenga watanzania kuwa wasaliti wa nchi yao....hilo halitawezekana kamwe ndani ya Tanzania mpaka mwisho wa dunia....msaliti yoyote atashughulikiwa kama ambavyo msaliti anatakiwa kushughulikiwa na hiyo ndiyo dawa ya msalitiNawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.
Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bungeni la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.
Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.
Dawa ya hoja ni hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeuliza vyema,sasa wao wapo hapohapo Tanzania lakini majimbo yao hayana tofauti na huyo munaesema anazurura.Wao wanafanya nini ?Nimegundua wazee na vijana wengi wa ccm munajitoa ufahamu kwa ajili yakulinda maslahi ya kwenda chooni,lakini kumbukeni Mzee Sitta alikuwa mbabe Leo ni Marehemu.AhsanteHao uliowataja wako kwa mabeberu wanahubiri na kuunga mkono Ushoga!?
Suala la kina Babu Seya ulishawahi kupata wasaa wa kupitia mafaili ya kesi nzima!? Maana mnatokwa mapovu kama nyie ndio mlikuwa wapelelezi na watoa Hukumu wa kesi husika.Sasa
Sasa we hoja yako Ni ipi, maana nilitegemea waliopo madaraka I Tena karibu na chama kule kwenye majimbo yao Mambo Safi ili upate moral authority ya kumsema Lissu lakini Kama mnafanana. Mwache aseme muda ukifika wapiga kura wake wataamua.
Suala la kuunga mkono Ushoga..sidhani Kama anaunga mkono. Swali: kina Babu Seya walifungwa kwa kosa gani, iweje wamepewa msamaha, je waliotoa msamaha wanaunga Ushoga?
Nawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.
Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bungeni la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.
Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.
Dawa ya hoja ni hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikitiko kwa taifa.Unataka kutuaminisha kuwa tangu Lissu aende kwenye matibabu fedha za jimbo hazijatumika kumsubiri arudi?Shame lame!Kazi ya pesa iliyoko kwenye mfuko wa maendeleo jimboni ni nini kamanda!?
Umeshafika katika majimbo ya hao uliowataja hivi karibuni? Mimi nimefika Jimboni kwa bwana Lissu, nilikuwa huko mwezi wa kumi na mbili mwaka jana (2018) HALI INATISHA SANA.Umeuliza vyema,sasa wao wapo hapohapo Tanzania lakini majimbo yao hayana tofauti na huyo munaesema anazurura.Wao wanafanya nini ?Nimegundua wazee na vijana wengi wa ccm munajitoa ufahamu kwa ajili yakulinda maslahi ya kwenda chooni,lakini kumbukeni Mzee Sitta alikuwa mbabe Leo ni Marehemu.Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app
Utajibu hoja kwa uongo ?!Nawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.
Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bungeni la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.
Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.
Dawa ya hoja ni hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaishi singida mashariki?Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
MaliyaMungu alikuwa katili kuliko Idd Amin!Ni vigumu kwa CCM kumjibu kwa Hoja kwa sababu mfumo wa Uongozi kwa awamu hii ya tano upo kienyeji yaani kuna Rais kisha Naibu Rais na mshauri mkuu ambaye anatumia style za yule mshauri wa marehemu Iddy Amin dada aliyekuwa akijulikana kwa jina la Maliyamungu ni mtu aliyekuwa na roho mbaya sana kama Daud Arbaty Bashite na cyprian Musiba ni vigumu wajenge hoja kwa Sababu ushauri wa Bashite kwa mtukufu malaika toka chato ni biashara kubwa sana wao wanalipwa mabilioni kwenye miladi ya kudhoofisha chadema na kuua upinzani kwa ujumla, wakikalia hoja watakosa pesa.
Well spoken; lakini ni nani kati yao yuko tayari kusimama akahesabiwa akashauri watumie njia ya Kujibu hoja kwa nguvu ya hoja? wote wamebaki kuwa washangiliaji na kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu, wanatamani tu Lissu afe kero iwaondokee!!
Wanasahau kwamba Martin Luther King Junior aliuwawa 1968, lakini Civil rights movement iliendelea kushamiri, Lissu atakufa ndio kama sisi wengine wote; lakini atakuwa ameacha mbegu ambayo itamuishi kwa miaka mingi sana baada ya kifo chake.
kuua mwili ni kazi bure, NENO ndio kila kitu. wacha Mungu wanalijua hilo vizuri sana kwani limetamalaki kwenye kitabu kitakatifu BIBLIA.
kimya pia jibu broHapana ccm bado ina viongozi wazuri sana, labda uniambie wameamua kukaa kimya tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakunammazingira nje ya hukumu za magistrate, High court na Court of appeal!Suala la kina Babu Seya ulishawahi kupata wasaa wa kupitia mafaili ya kesi nzima!? Maana mnatokwa mapovu kama nyie ndio mlikuwa wapelelezi na watoa Hukumu wa kesi husika.
Unajua Mazingira ya kesi ya kina Babu Seya na watoto wake!?
Mimi siko hapa kumuaminisha kiumbe yoyote..bali niko hapa kuweka rekodi sawa na kupinga Upotoshaji umma, Uzandiki, Unafiki, Uhaini, Uongo n.k.Sikitiko kwa taifa.Unataka kutuaminisha kuwa tangu Lissu aende kwenye matibabu fedha za jimbo hazijatumika kumsubiri arudi?Shame lame!
MaliyaMungu alikuwa katili kuliko Idd Amin!
Suala la kina Babu Seya ulishawahi kupata wasaa wa kupitia mafaili ya kesi nzima!? Maana mnatokwa mapovu kama nyie ndio mlikuwa wapelelezi na watoa Hukumu wa kesi husika.
Unajua Mazingira ya kesi ya kina Babu Seya na watoto wake!?
Huwa napita kikazi huko na mara ya mwisho nilikuwa huko desemba mwaka jana (2018).