Hii ndio dawa ya mwanamke

Hii ndio dawa ya mwanamke

  • umjali
  • umpende
  • umthamini
ukisikia siasa za wanawake ndio hizo. " oo, natka mwanaume anaenijali, anaenipenda, na kunithamini." wizi mtupu , what is the meaning of CARE, LOVE AND CONCERN/ . Haya ni majibu mepesi mno, tena mno mno. Yule mtoa mada hoja alizotoa ndio kwanza wanataka. kwanza wanawake kabla ya yote ni wavivu hawapendi kujitegemea na wanaka mtu wa kumtegemea. we ukiona mama anafikiria eti kujitegemea na si kuolewa ujue kakosa tu wa kumsaidia. MADEMU, WANAWAKE, MASHOLI NA WENGINE WOTE PESA KWANZA AU MAHITAJI YA MSINGI. sio hizo porojo hapo juu. hizi zinakuja baada ya kukuona unafedha. anaweza akajifanya mpole, ukamjali, ukampenda, ukamthamini baada tu ya kujua una hela. Ishiwa halafu eti jifanye unamjali , sijui una mpenda, au unamthamini NDO UTAPATA JIBU. Tuache kudanganyana jamani. Hao mpaka wajeruhiwe ndipo wanakumbuka kuwa maisha ni zaidi ya mali.
 
ukisikia siasa za wanawake ndio hizo. " oo, natka mwanaume anaenijali, anaenipenda, na kunithamini." wizi mtupu , what is the meaning of CARE, LOVE AND CONCERN/ . Haya ni majibu mepesi mno, tena mno mno. Yule mtoa mada hoja alizotoa ndio kwanza wanataka. kwanza wanawake kabla ya yote ni wavivu hawapendi kujitegemea na wanaka mtu wa kumtegemea. we ukiona mama anafikiria eti kujitegemea na si kuolewa ujue kakosa tu wa kumsaidia. MADEMU, WANAWAKE, MASHOLI NA WENGINE WOTE PESA KWANZA AU MAHITAJI YA MSINGI. sio hizo porojo hapo juu. hizi zinakuja baada ya kukuona unafedha. anaweza akajifanya mpole, ukamjali, ukampenda, ukamthamini baada tu ya kujua una hela. Ishiwa halafu eti jifanye unamjali , sijui una mpenda, au unamthamini NDO UTAPATA JIBU. Tuache kudanganyana jamani. Hao mpaka wajeruhiwe ndipo wanakumbuka kuwa maisha ni zaidi ya mali.
Hayo niloataja ndio ya umuhimu kwangu labda kwasababu mimi ni mwanamke ninayejitegemea na sina shida na pesa ya mwanaume!Mara nyingi tukiongelea vitu tuna refer kwenye experience tulizopitia nadhani ndivyo ulivyofanya ww!Sikulaumu kama wote ulokutana nao wewe wanaweka pesa mbele kwasababu ndio jamii yetu ya sasa ilivyo katika kila nyanja pesa na rushwa ndio inapewa kipaumbele.But i will stick to what i have said mwanamke umjali,umpende na umthamini....Haya mrushie hayo mapesa yote kisha usimpe hivo vitu vitatu uone kama hatoenda kutafuta kiseregenti boy kimpe malavidavi...
 
kaka sijajua mwanaume atoe hivyo vitu ili apate nin in return maana ni kama investment hivi ya upande mmoja
 
Hayo niloataja ndio ya umuhimu kwangu labda kwasababu mimi ni mwanamke ninayejitegemea na sina shida na pesa ya mwanaume!Mara nyingi tukiongelea vitu tuna refer kwenye experience tulizopitia nadhani ndivyo ulivyofanya ww!Sikulaumu kama wote ulokutana nao wewe wanaweka pesa mbele kwasababu ndio jamii yetu ya sasa ilivyo katika kila nyanja pesa na rushwa ndio inapewa kipaumbele.But i will stick to what i have said mwanamke umjali,umpende na umthamini....Haya mrushie hayo mapesa yote kisha usimpe hivo vitu vitatu uone kama hatoenda kutafuta kiseregenti boy kimpe malavidavi...

Naweza kubaliana nawe kwa mfano ufuatao .....

Dem flani tulikuwa naye kati tunakutana naye sehem za starehe akiwa na kijana ambaye kiukwel kipato chake kilikuwa cha kawaida ....... baada ya muda huyo dem kamtosa kijana yule na kuolewa na mwarabu alomfungia ndani muda wote. ............ haikupita hata miezi mitatu dem katoroka na kurudi maisha ya mtaani .... siku moja nikakutana naye nikamuuliza kulikoni ..... HAYA NDO MAJIBU NILOPEWA ..

"JAPO KWA MWARABU NILIKUWA NALETEWA KILA KITU NDANI LAKINI KUISHI KAMA MFUNGWA .... KAKA NI NGUMU SANA. NILIZOEA KUTOKA NA KADU KILA NINAPOMUHITAJI, LAKINI KWA MWARABU NI MARA MOJA KWA WIKI TENA YEYE NDO AAMUE"
 
ukisikia siasa za wanawake ndio hizo. " oo, natka mwanaume anaenijali, anaenipenda, na kunithamini." wizi mtupu , what is the meaning of CARE, LOVE AND CONCERN/ . Haya ni majibu mepesi mno, tena mno mno. Yule mtoa mada hoja alizotoa ndio kwanza wanataka. kwanza wanawake kabla ya yote ni wavivu hawapendi kujitegemea na wanaka mtu wa kumtegemea. we ukiona mama anafikiria eti kujitegemea na si kuolewa ujue kakosa tu wa kumsaidia. MADEMU, WANAWAKE, MASHOLI NA WENGINE WOTE PESA KWANZA AU MAHITAJI YA MSINGI. sio hizo porojo hapo juu. hizi zinakuja baada ya kukuona unafedha. anaweza akajifanya mpole, ukamjali, ukampenda, ukamthamini baada tu ya kujua una hela. Ishiwa halafu eti jifanye unamjali , sijui una mpenda, au unamthamini NDO UTAPATA JIBU. Tuache kudanganyana jamani. Hao mpaka wajeruhiwe ndipo wanakumbuka kuwa maisha ni zaidi ya mali.

Mkuu hapa umenena firisika au mbanie matumizi mwanamkee utamjua vizuri
 
Back
Top Bottom