Hii ndio dawa ya mwanamke

Hii ndio dawa ya mwanamke

dawa ya mwanamke ni umtimizie mahitaji yake,na mahitaji yao huwa yanatofautiana kuna wanaopenda ngono sana,kuna wanaopenda hela sana,kuna wanaopenda caring n.k sso its better ukamjua mpenzi wako anapenda nini??
 
Kila nchi ina ramani yake so ukiijua ya Tanzania then uingie Kenya na mbwembwe za Tzii utapotea mitaani mapaka uchizike!!!!!!!

Binadamu wote mtego wetu ni huu
1. Uhakika wa maisha raha mtawanyiko na starehe za hapa na pale
2. Uhakika wa kupendwa na kuoneshwa unapendwa
3. Kuheshimiwa
4. Kuthaminiwa na kujaliwa
5. Kupewa uhuru wa kufanya yale yanayokubaliwa kwa mujibu wa dini husika na.jamii inayowazunguka!!!!
 
Kila nchi ina ramani yake so ukiijua ya Tanzania then uingie Kenya na mbwembwe za Tzii utapotea mitaani mapaka uchizike!!!!!!!

Binadamu wote mtego wetu ni huu
1. Uhakika wa maisha raha mtawanyiko na starehe za hapa na pale
2. Uhakika wa kupendwa na kuoneshwa unapendwa
3. Kuheshimiwa
4. Kuthaminiwa na kujaliwa
5. Kupewa uhuru wa kufanya yale yanayokubaliwa kwa mujibu wa dini husika na.jamii inayowazunguka!!!!
 
Siku zote ukitaka kuishi kwa furaha na mwanamke yeyote mfanyie mambo haya matatu. 1. Mpe chakula anachotaka 2. Hakikisha unamvalisha mavazi mazuri na 3. Mridhishe kunako 6£¿6

kupenda, kujali kuthamini na uwazi ndio mpango mzima,
 
Mnunulie magauni ya spesheli. Magauni ya kumeremeta. Mpeleke kwenye daraja la manzese kupiga picha. Mlete mwenge stand jion achague mitumba. Ukimpeleka kariakoo...utamvuruga kabisa dada wa watu.
 
KUNA UMUHIMU KUWA NA MAHUSIANO YA MKATABA PAMOJA NA NDOA ZA MKATABA .nawasilisha.:majani7:
 
We nipe hela.
Hata usiponipa dudu yako poa tu.


Sikubaliani na wewe hata kidogo mimi adhabu ambayo nilimpa dem wangu siku nyingi sana nakumbuka aliamua kujiua kwa sumu na aliponea hositali ya kiwanda cha karatasi Mgololo ni kwamba baada ya maudhi yake niliendelea kumpa hela ila kamwe sikumpa dudu langu tena na kwenye ujumbe mfupi aliouandika ulisome fedha yako haina thamani kwengu kama hutaki kunipa dudu lako chezea utamu wa dudu wewe
 
Kila nchi ina ramani yake so ukiijua ya Tanzania then uingie Kenya na mbwembwe za Tzii utapotea mitaani mapaka uchizike!!!!!!!

Binadamu wote mtego wetu ni huu
1. Uhakika wa maisha raha mtawanyiko na starehe za hapa na pale
2. Uhakika wa kupendwa na kuoneshwa unapendwa
3. Kuheshimiwa
4. Kuthaminiwa na kujaliwa
5. Kupewa uhuru wa kufanya yale yanayokubaliwa kwa mujibu wa dini husika na.jamii inayowazunguka!!!!

Bado!!!!
 

Hiyo haiwekwi hadharani!!!!!!!

Kwenye triangle ya kupendwa kuheshimiwa na kuthaminiwa yenyewe inakaa kati pale! !!!!!!!!

Hiyo utapata mamy sio taaaabu wala kesi!!!!
 
Back
Top Bottom