Hii ndio dawa ya mwanamke

Hii ndio dawa ya mwanamke

Siku zote ukitaka kuishi kwa furaha na mwanamke yeyote mfanyie mambo haya matatu. 1. Mpe chakula anachotaka 2. Hakikisha unamvalisha mavazi mazuri na 3. Mridhishe kunako 6£¿6
mkuu ni kweli kabisa ila na mungu naye kwa changamoto zake hawezi akakupa hivyo vitu vitatu vyote fanya tafiti utakuta kila mtu ana viwili , mimi nina kimoja tu yaani nakipenda sana hicho kinanipa na hivyo vilivyabakia
 
Siku zote ukitaka kuishi kwa furaha na mwanamke yeyote mfanyie mambo haya matatu. 1. Mpe chakula anachotaka 2. Hakikisha unamvalisha mavazi mazuri na 3. Mridhishe kunako 6£¿6

.........
1. Mpe hela
2. Mpe hela
3. Nasema Mpe hela tu
4. We mpe hela tu......
5. Toa hela ........
 
Siku zote ukitaka kuishi kwa furaha na mwanamke yeyote mfanyie mambo haya matatu. 1. Mpe chakula anachotaka 2. Hakikisha unamvalisha mavazi mazuri na 3. Mridhishe kunako 6£¿6

umesahau hili: TATUA MATATIZO yake. Especially yale yanayoitaji mkwanja alafu jumlisha na hayo uliyoyataja. Utakuwa umeWIN penzi la mwanamke.
 
Ongeza na kum apricite kwa kukupenda,kukuzalia watoto kukufanya uwe na furaha na kukufanya uonekane mwanaume mbele ya wanaume na kuifanya ndoa yenu kuendele kua hai!
 
mbona simple tu..mwanamke ukitaka umridhishe mpe maswali magumu a solve.

mfano asikuzoee kila siku uwe una change yaani usitabirike uwe siriasi..basi hapo huwa ataridhika..kwa kila kitu..
najua ni vigumu kunielewa but that is true..

ukiwa na pesa shida ukiwa huna shida kitandaninapoakipazoea shida..

hawa viumbe ukitaka uishi nao vizuri some time yakupasa usiwe na akili za kawaida..some uwe ka kichaa au mtoto mdogo

ila ukiwa logic %mia watakukimbia na kukuona snitch..au umepitwa na wakati

then mwisho matokeo yake ni haya x=mc[SUP]2[/SUP]
 
Back
Top Bottom