Hii ndio dawa ya mwanamke

Hii ndio dawa ya mwanamke

hahahaa...
Ndio. Hela inaishia ujenzi na shule kwa watoto. Achezee mshahara wake..na msosi home jukumu lake. OVER.
Cc: Heaven on earth
 
Last edited by a moderator:
Women are complex,hawaeleweki hata utoe roho yako uwape..utalia ,wewe jipe tu matumaini

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hahahaa...
Ndio. Hela inaishia ujenzi na shule kwa watoto. Achezee mshahara wake..na msosi home jukumu lake. OVER.
Cc: Heaven on earth

we data wewe naomba uniambie umanishi hata kidogo unachokisema

huo ujenzi si bora uwe unaufanya....ada kutoa ni mtafutano kama wahamiaji haramu wanavyotafutwa lol
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom