Hii ndio bodi ya mikopo

STALLEY

JF-Expert Member
May 5, 2012
619
206
Kumbe bodi ya mikopo watu wanakula hela kwa kwenda mbele. mishahara inapangwa na bodi ya wakurugenzi ambapo kwa wafanyakazi kwa ngazi ya menegimenti mishahara inafikia milioni 7.5 pamoja na marupurupu yafuatayo
1. responsibiliy allowance
2. Housin allowance
3. Fuel&maintainance allowance
4. Utilities allowance
na kwa mujibu wa bodi mishahara hii imeidhinishwa na serikali na kigezo walichotumia kupanga mishahara hii ni majukumu mazito ambayo watu hawa wamepewa.
Hii imekaaje
 
mh lakin ndo tz bwana ukipata nafas tumia ukikosa tulia....
 
SASA NDUGU UBONGO HARAGE uyo anaelipwa milioni 7.5 ni nani ndugu niulize sasa ivi?
 
Back
Top Bottom