STALLEY
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 619
- 206
Kumbe bodi ya mikopo watu wanakula hela kwa kwenda mbele. mishahara inapangwa na bodi ya wakurugenzi ambapo kwa wafanyakazi kwa ngazi ya menegimenti mishahara inafikia milioni 7.5 pamoja na marupurupu yafuatayo
1. responsibiliy allowance
2. Housin allowance
3. Fuel&maintainance allowance
4. Utilities allowance
na kwa mujibu wa bodi mishahara hii imeidhinishwa na serikali na kigezo walichotumia kupanga mishahara hii ni majukumu mazito ambayo watu hawa wamepewa.
Hii imekaaje
1. responsibiliy allowance
2. Housin allowance
3. Fuel&maintainance allowance
4. Utilities allowance
na kwa mujibu wa bodi mishahara hii imeidhinishwa na serikali na kigezo walichotumia kupanga mishahara hii ni majukumu mazito ambayo watu hawa wamepewa.
Hii imekaaje