Hii nchi ya CCM kuwa Waziri Mkuu ni kama mbeba kashfa tuu

Nicholas

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
25,260
7,196
Imefikia mahali kuwa waziri mkuu unahitaji roho ya simba(WENYEWE WANAKUAMBIA HISTORIA INAONYESHA HAKUNA WAZIRI MKUU KAWA RAIS ZAIDI YA NYERERE BAADA YA KUISHI SIASA ZENYE AFADHALI ZA MKOLONI).Nchi ya CCM na rais wa kama mungu, waziri mkuu ndio wa kutoa matamko na kukimbizana na vitu ambavyo baadae vikileta aibu yeye ndie anabeba. Ni kawaida sana mawaziri wakuu wa hii nchi kujikuta wakitakiwa kulia hadharani, kutoa matamko yasiyo na weledi baadae kuwa dhihaka katika jamii.

Tangu enzi ya Kawawa,mawaziri wakuu ndio kafara mbaya sana. Tumeona Mtoto wa Mkulima alia Bungeni baada ya kuulizwa maswali mepesi tuu na wapinzani wasio hata na polisi,wasio hata na spika wa bunge kuwalinda.

Tuliona Issue za Richmond na mwisho wake kwamba EL alitolewa kafara na kuachwa huko huko katika kashfa.Hakuna hata wa kusema ahsante kwa kuniokoa.Na mwisho aliyekosea hajaadhibiwa,na matokeo yake hakuna aliyeadhibiwa ingawa CCM bado wanakomaa abaki na tope walilombandika. CCM KWA AKILI ZAO WANADHANI NI UGANGA WAZIRI MKUU HAWEZI KUWA RAIS KUMBE NI SIASA MBAYA ZINAZOZUNGUKA UWAZIRI MKUU.

Kwa muda huu,waziri mkuu baada ya kuingia ngorangoro n amikakati yenye makosa,maswali na changamoto zenye makosa,katoka kimya kimya.Sasa anahitajika kukimbizana na KUNA NJAA HAKUNA NJAA.
 
Ndio maana hamna Waziri mkuu ukiacha ule wa kisanii wa Nyerere ambaye amewahi kuwa Raisi wa hii nchi!! Kile ni cheo cha kubeba uchafu na kashfa zote so anakuwa keshachafuka!! Kama huyu wa sasa ndio Waziri mkuu hewa kuliko wote niliopata kuwaona katika Maisha yangu
 
Ndio maana hamna Waziri mkuu ukiacha ule wa kisanii wa Nyerere ambaye amewahi kuwa Raisi wa hii nchi!! Kile ni cheo cha kubeba uchafu na kashfa zote so anakuwa keshachafuka!! Kama huyu wa sasa ndio Waziri mkuu hewa kuliko wote niliopata kuwaona katika Maisha yangu
Teh teh. Akili za CCM ni kama za mkusanyiko wa walioliwa na zika. Wanavotafsiri ni kwamba histori ainaonyesha kwamba hakuna waziri mkuu aliyewahi kuwa rais. Ila hawajui sayansi nyuma yake.
 
Mbona motto wa mkulima alitia nia ya kugombea urais bahati mbaya jina lake likakatwa kama ilivyo kwa el. Si kwamba ukwa waziri mkuu lazima uupate urais lazima upite kwenye mchujo.
 
Mbona motto wa mkulima alitia nia ya kugombea urais bahati mbaya jina lake likakatwa kama ilivyo kwa el. Si kwamba ukwa waziri mkuu lazima uupate urais lazima upite kwenye mchujo.
Sio shida,ila CCM wenyewe watatoka povu hufai.Kwa vile walishakuharibu na kukupa kazi za kukuchafua.Mtoto wa mkulima sasa hivi sijui hata yupo wapi anaweza ibuka kama chidi benz. Si unaona hata warioba anavyohangaika hadi kujiamini hajui kulipotelea wapi. waliobaki wenye kujitambua ni Lowasa na Sumaye,ndio wanaoisukuma CCM to the limits.
 
N ahuyu waziri mkuu nae kesha nasa.Na ni mapema mno kwa mika iliyobaki.
 
Haha. Masikini we we waziri mkuu anaokolewa nanaibu spika kwa aibu vile tena amepama hivyo? Mbowe Alisha. Corner masikini jamaa akawa mdogo kuliko piriton. Ccm waendelee jidanganya kwamba chadema no was hivihivi. Watapigwa ko Sikh zote.
 
Haha. Masikini we we waziri mkuu anaokolewa nanaibu spika kwa aibu vile tena amepama hivyo? Mbowe Alisha. Corner masikini jamaa akawa mdogo kuliko piriton. Ccm waendelee jidanganya kwamba chadema no was hivihivi. Watapigwa ko Sikh zote.
Pdidy una ID ngapi?
 
Tuseme ukweli muda mwingine katika Mawaziri Wakuu walionahekma na busara Na uvumilivu wa hali ya Juu ni Huyu Kassim Majaliwa!

Angekuwa waziri Mkuu enzi za JK angeng'ara sana na angefika mbali sana kisiasa lakini Kwa awamu hii anavumilia mengi sana tena!
 
Tuseme ukweli muda mwingine katika Mawaziri Wakuu walionahekma na busara Na uvumilivu wa hali ya Juu ni Huyu Kassim Majaliwa!

Angekuwa waziri Mkuu enzi za JK angeng'ara sana na angefika mbali sana kisiasa lakini Kwa awamu hii anavumilia mengi sana tena!
Ha ha. Ndio matamanio yako tuu.Huyu jamaa atakuwa kimya very soon kama makamu na wengine?Yupo wapi mwigulu?Yupo wapi nape?Something is very wrong with kuongoza nchi chini ya ccm.Huwa mika yote serikali zao ni za maigizo na kubebeshana lawama.
 
Ni kweli mkuu, nchi hii ukiwa kiongozi kila uongo na uzandiki unabebeshwa tu, hata kama ni msafi kiasi gani. Jambo baya upinzani hupenda kuiga uchafu huo wa ccm,ndiyo maana leo wameikana list waliyoiandaa na kuisoma hadharani pale temeke mwisho, wakimbebesha tuhuma za kila aina aliyekuwa waziri mkuu wa wakati huo na wenzake kumi. Na hilo ndilo lilikuja kuwagharim 2015. Kwakuwa yule unayeshiriki kumchafua leo, hujui kesho atakuwa nani kwako, hivyo si busara kuchafuana ovyo kwa sababu za kisiasa
 
Eti lema anasema kale kawimbo ka imani na lowasa kalifurahisha wengi
 
Back
Top Bottom