MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,478
- 20,390
Duu kwa hiyo wameuwa kwa kudhamiria x2umenikumbusha jamaa mmoja anasoma hapo st Jose kampa demu mimba mara mbili wakazichomoa sahivi ana mimba ya 3 jamaa anataka ichomoe demu kagoma demu kashaanza lalamika jamaa anataka msepa amwache na mimba yake
Duu kwa hiyo wameuwa kwa kudhamiria x2
Na anataka tena kuuwa.
Kweli nyama ya binadamu haiachi mtu salama
Ana dhambi kubwa sanamkuu alafu demu anampenda jamaa mpk anatoka mkoa mwingine anamfata jamaa dar nilichomsaidia nimemwambia atafute mtu amsingizie kampata jamaa wa bodaboda
mkuu niliona tu bora nimpe huo ushauri wa kumsingizia mimba jamaa ili kuokoa roho ya huyo kiumbe maana huyo jamaa wa kwanza alitaka itoleweAna dhambi kubwa sana
Kwanini anafanya hivyo
Sasa kamsingizia mimba jamaa mwingine
Halafu iweje?
Daah maisha haya