Hii nahisi yaweza kuwa kweli

Hii nahisi yaweza kuwa kweli

mamanalia

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2009
Posts
666
Reaction score
146
Enzi za Mwinyi watu walisema serikali imeenda likizo. Kwa sasa mambo yanavyoenda TZ nahisi kuwa labda wakati wa Mkapa serikali ilitoka likizo ikaja kufanya kazi kwa miaka kumi bila kupumzika na sasa hivi wakati huu serikali ilionelea iende tena likizo kuanzia mwaka 2005.

Kwa hiyo wa TZ tusishangae mambo ya ajabu yanayoendelea hapa nchini bali tujue ni kuwa serikali iko tena likizo na hatujui ni lini likizo ya kipindi hiki itaishia kwa sababu serikali haijawahi kuwataarifu wananchi wake ni lini itaenda likizo na ni lini likizo inaisha.

Nawasilisha.
 
Hebu niambie baadhi ya matukio ambayo yanathibitisha serikali ipo likizo??

I wish pro CHADEMA wote wangekuwa wanachangia threads namna hii.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Enzi za Mwinyi watu walisema serikali imeenda likizo. Kwa sasa mambo yanavyoenda TZ nahisi kuwa labda wakati wa Mkapa serikali ilitoka likizo ikaja kufanya kazi kwa miaka kumi bila kupumzika na sasa hivi wakati huu serikali ilionelea iende tena likizo kuanzia mwaka 2005.

Kwa hiyo wa TZ tusishangae mambo ya ajabu yanayoendelea hapa nchini bali tujue ni kuwa serikali iko tena likizo na hatujui ni lini likizo ya kipindi hiki itaishia kwa sababu serikali haijawahi kuwataarifu wananchi wake ni lini itaenda likizo na ni lini likizo inaisha.

Nawasilisha.

Rebanon, kuna wakristu na waislaam na kwenye katiba yao huko nyuma walipenda kupokezana katika utawala yaani kipindi fulani mkristo anakuwa mtawala na kipindikingine anakuwa muislam. Lakini wakagundua baada ya muda kila wakati muislamu akitawala basi mambo hualibika, waaislamu wenyewe wakaja na pendekezo kuwa basi nchi itawaliwe na mkristo mapaka wao nao watakapoelimika kuweza kutawala. Baada ya kuelimika hivi juzi tuu ndio wamerudisha utaratibu wa zamani. Samahani ndugu zangu waislamu sipendi udini sana kwani nina ndugu waislamu pia ila najua utamaduni huu wa utawala naona kama utawashinda kama hamta kuwa wakali wa watala hasa pale wanapokuwa dini zenu. Tumeshudia ya Mwinyi sasa ya Jk, wakeeni musiwacheekee pale wanapohalibu kwani wanawashusha. Mimi nilikuwa na wasiwasi sana pale Obama alipochaguliwa kuiongoza marekali lakini amenifanya niwe proud african kuwa tunaweza kwa kuchaguliwa mara ya pili lakini asingechaguliwa ningelikuwa wa kwanza kumlaumu pia.
 
Hii hoja haina nyama. Ni mifupa mitupu. You've got to support your argument.

kwa sisi wenye upeo mkubwa wa kufikiri na kuona namna ambavyo nchi yetu inavyo endeshwa hatuna haja ya kuelekezwa zaidi kama nyama tumesha jazia wenyewe na kama alikuwa ni ng'ombe basi kanona hata kutembea anashindwa na kama ni binadam basi ni bonge zaidi ya marehem pepe kale

  • :rockon:
 
Ukiona kila raia anajihusisha na siasa then ujue watu wamekata tamaa na maisha!!!!!!!!!!

tume elimika na tunatambua mnacho fanya kwenye siasa na tunajua kuwaambia ukweli. Mtanzania wa leo sio kama wa zamani
 
Enzi za Mwinyi watu walisema serikali imeenda likizo. Kwa sasa mambo yanavyoenda TZ nahisi kuwa labda wakati wa Mkapa serikali ilitoka likizo ikaja kufanya kazi kwa miaka kumi bila kupumzika na sasa hivi wakati huu serikali ilionelea iende tena likizo kuanzia mwaka 2005.

Kwa hiyo wa TZ tusishangae mambo ya ajabu yanayoendelea hapa nchini bali tujue ni kuwa serikali iko tena likizo na hatujui ni lini likizo ya kipindi hiki itaishia kwa sababu serikali haijawahi kuwataarifu wananchi wake ni lini itaenda likizo na ni lini likizo inaisha.

Nawasilisha.

Na enzi za kidumu fikra sahihi za chama cha shika hatamu mbona hutaji? au ile haikuwa Serikali? au kwa kuwa alitawala zaidi ya miaka 24 na watu kukosa hata viatu na nguo za kujisitiri! au umesahau foleni za mikate na unga! umesahau watu walioliwa na Simba kwa kulazimishwa kuhamia vijiji vya ujamaa? umesahau michango ya nguvu na kusimamiwa na Mabalozi wa nyumba kumi ili kusaidia safari za Mzee haambiliki kwa ajili ya hafla zake?

Tulikuwa tunalazimishwa Mashuleni kusimama barabarani kuanzia asubuhi tunamngojea Ndugu haambiliki na akija saa 10 jioni! hapo tena tunaambiwa turudi nyumbani baada ya kumwimbia na kumpigia makofi! umesahau watu waliokufa kwa njaa mwaka 1974 na Haambiliki akaenda Marekani kuomba chakula na kupewa unga wa Yanga? umesahau? anaenda kuomba chakula wakati ardhi, watu, siasa safi (ujamaa) na uongozi bora tulikuwa tayari tunazo!
 
Rebanon, kuna wakristu na waislaam na kwenye katiba yao huko nyuma walipenda kupokezana katika utawala yaani kipindi fulani mkristo anakuwa mtawala na kipindikingine anakuwa muislam. Lakini wakagundua baada ya muda kila wakati muislamu akitawala basi mambo hualibika, waaislamu wenyewe wakaja na pendekezo kuwa basi nchi itawaliwe na mkristo mapaka wao nao watakapoelimika kuweza kutawala. Baada ya kuelimika hivi juzi tuu ndio wamerudisha utaratibu wa zamani. Samahani ndugu zangu waislamu sipendi udini sana kwani nina ndugu waislamu pia ila najua utamaduni huu wa utawala naona kama utawashinda kama hamta kuwa wakali wa watala hasa pale wanapokuwa dini zenu. Tumeshudia ya Mwinyi sasa ya Jk, wakeeni musiwacheekee pale wanapohalibu kwani wanawashusha. Mimi nilikuwa na wasiwasi sana pale Obama alipochaguliwa kuiongoza marekali lakini amenifanya niwe proud african kuwa tunaweza kwa kuchaguliwa mara ya pili lakini asingechaguliwa ningelikuwa wa kwanza kumlaumu pia.
Naona "L" na "R" zinakupashida. Kumbe we mdini kidogo?
 
Na enzi za kidumu fikra sahihi za chama cha shika hatamu mbona hutaji? au ile haikuwa Serikali? au kwa kuwa alitawala zaidi ya miaka 24 na watu kukosa hata viatu na nguo za kujisitiri! au umesahau foleni za mikate na unga! umesahau watu walioliwa na Simba kwa kulazimishwa kuhamia vijiji vya ujamaa? umesahau michango ya nguvu na kusimamiwa na Mabalozi wa nyumba kumi ili kusaidia safari za Mzee haambiliki kwa ajili ya hafla zake?

Tulikuwa tunalazimishwa Mashuleni kusimama barabarani kuanzia asubuhi tunamngojea Ndugu haambiliki na akija saa 10 jioni! hapo tena tunaambiwa turudi nyumbani baada ya kumwimbia na kumpigia makofi! umesahau watu waliokufa kwa njaa mwaka 1974 na Haambiliki akaenda kwa Jimmy Carter Rais wa Marekani kumuomba chakula na kupewa unga wa Yanga? umesahau? anaenda kuomba chakula wakati ardhi, watu, siasa safi na uongozi bora ulikuwepo!

Get your facts right. Jimmy Carter alikuwa rais wa Marekani 1976-1980. Mwalimu alikuja Marekani state visit August 1977. Uwongo huu umefifisha ulichokusudia kusema kwenye thread yako.
 
Enzi za Mwinyi watu walisema serikali imeenda likizo. Kwa sasa mambo yanavyoenda TZ nahisi kuwa labda wakati wa Mkapa serikali ilitoka likizo ikaja kufanya kazi kwa miaka kumi bila kupumzika na sasa hivi wakati huu serikali ilionelea iende tena likizo kuanzia mwaka 2005.

Kwa hiyo wa TZ tusishangae mambo ya ajabu yanayoendelea hapa nchini bali tujue ni kuwa serikali iko tena likizo na hatujui ni lini likizo ya kipindi hiki itaishia kwa sababu serikali haijawahi kuwataarifu wananchi wake ni lini itaenda likizo na ni lini likizo inaisha.

Nawasilisha.

very low. kama huoni yanayofanyika basi una lako jambo, sio hivi hivi tu.
 
Rebanon, kuna wakristu na waislaam na kwenye katiba yao huko nyuma walipenda kupokezana katika utawala yaani kipindi fulani mkristo anakuwa mtawala na kipindikingine anakuwa muislam. Lakini wakagundua baada ya muda kila wakati muislamu akitawala basi mambo hualibika, waaislamu wenyewe wakaja na pendekezo kuwa basi nchi itawaliwe na mkristo mapaka wao nao watakapoelimika kuweza kutawala. Baada ya kuelimika hivi juzi tuu ndio wamerudisha utaratibu wa zamani. Samahani ndugu zangu waislamu sipendi udini sana kwani nina ndugu waislamu pia ila najua utamaduni huu wa utawala naona kama utawashinda kama hamta kuwa wakali wa watala hasa pale wanapokuwa dini zenu. Tumeshudia ya Mwinyi sasa ya Jk, wakeeni musiwacheekee pale wanapohalibu kwani wanawashusha. Mimi nilikuwa na wasiwasi sana pale Obama alipochaguliwa kuiongoza marekali lakini amenifanya niwe proud african kuwa tunaweza kwa kuchaguliwa mara ya pili lakini asingechaguliwa ningelikuwa wa kwanza kumlaumu pia.
kama umemaliza tufanye maombi ili mfumo K wetu uimarike.
 
ukimuangalia kikwete kama mfuasi wa watu kama akina mtikila na wanaofanana na huyo basi huwezi ona kitu kwani walishasema kuwa kikwete ni adui wa ukirsto hatakiwi pale ikulu. na ndo sasa hivi mnachokiendeleza. mlibisha kuwa hamkupiga kampeni makanisani, juzi zitto kawaumbua, kwa vivid example kwenye jimbo lake. chukulia lile tukio kama case study kwako. utajua mengi na huo ukirsto wako.
chuki chuki chuki chuki.........
lakini ukimuangalia kikwete kama mtanzania, basi ni taahira tu ndo anayeweza simama na kuthubutu kusema eti kikwete hajafanya chochote.
 
Back
Top Bottom