TAXI42
Member
- Jan 13, 2023
- 22
- 37
Hii Morogoro hawa wanawake kila Lodge wanafanya nini?
Jana nipo Moro nilivyofika Alfajiri nikaanza kuzunguka, kumbuka nimefika Asubuhi. Nikaanza kuzunguka kutafuta sehem ya kupumzika. Kila Lodge ninayoingia nakaribishwa na wasichana wa 3 wawili wamekaa kwenye sofa. Nikasema huu ni ukarimu wa kiasi gani.
Kuna wengine umri umeenda tena hao nahisi wanakuwa na Sangoma kabisa humo ndani ana chumba chake.
Basi tupokelewe na ambao hawajatumika lakini wengi wao unaona wametumika sana.
Yote kwa yote ASANTENI SANA Kwa Ukarimu wenu.
Staki kushiriki dhambi ambayo wakati nachomwa nitaona nimeonewa Ugonge kisiki lakini kiwe cha Dhahabu lakini hawa hapana.
Jana nipo Moro nilivyofika Alfajiri nikaanza kuzunguka, kumbuka nimefika Asubuhi. Nikaanza kuzunguka kutafuta sehem ya kupumzika. Kila Lodge ninayoingia nakaribishwa na wasichana wa 3 wawili wamekaa kwenye sofa. Nikasema huu ni ukarimu wa kiasi gani.
Kuna wengine umri umeenda tena hao nahisi wanakuwa na Sangoma kabisa humo ndani ana chumba chake.
Basi tupokelewe na ambao hawajatumika lakini wengi wao unaona wametumika sana.
Yote kwa yote ASANTENI SANA Kwa Ukarimu wenu.
Staki kushiriki dhambi ambayo wakati nachomwa nitaona nimeonewa Ugonge kisiki lakini kiwe cha Dhahabu lakini hawa hapana.