Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,045
Umeona mkuu dunia duara ila mbona hatudondoki, wengine ni member wenzetu humu
Umeona mkuu dunia duara ila mbona hatudondoki, wengine ni member wenzetu humu
Bwana akubariki. AmeenMkuu..walokole leo tuna majonzi utuache KIDOGO...naenda kwa mtumishi hapa akaniwekee mkono kwa kichwa. Ashushe maombi
Scenario zenu ni kama wengi tu niliowaona wanapakua Tantan. Mwanzoni ilionekana kama app ya kuchat wakaanza kushangaa mbona wanatongozwa tu afu wanachat na wanaume pekee.Scenario yako ipo kama yangu.
Huyo wa kwangu nadhani ameshahifuta kule kwa sababu alikuwa mgeni kule tinder pia akitafuta marafiki. Na demu ana mpunga mrefu ni balaa
Duh hatari hawa ndo wale Malaya wasafi ukikutana nae unaweza zani umekutana na wife materiallEscort ni sex worker tu anaweza kuwa mwanaume au mwanamke. Hao wa escort nadhani wengi wanajiuza kwa wageni, actually ni malaya first class. Ingia Escorts Tanzania - Exotic Tanzania Premium Verified Escorts & Hookups. kwa VPN maana umefungiwa tanzania uone maajabu ya karne. Mpaka utajiuliza mwenyewe hivi hawa wanajiuza kwasababu gani
MkuuUongo...weka picha
Yaani eti ........ i hope umeelewa mkuu😉Embu nieleweshe kasemaje
Yani nilichokiona tinder na exortic, nikagundua unaweza kuwa na mtu wako we wadhani katulia kumbe wenzako wanamla huko kwa kumlipa. Mabinti wengi tena wazuri ambao ukikutana nao katika maisha ya kawaida hata kuwatongoza unajishauri wanajiuza cheap huko.Duh hatari hawa ndo wale Malaya wasafi ukikutana nae unaweza zani umekutana na wife materiall
kwanini?Ambao kabisa hutakiwi hata kujiuliza ni wale kwenye profile zao wameandika wanasoma Aghakan university hao wote hutakiwi hata kuuliza.
Mkuu,Scenario yako ipo kama yangu.
Huyo wa kwangu nadhani ameshahifuta kule kwa sababu alikuwa mgeni kule tinder pia akitafuta marafiki. Na demu ana mpunga mrefu ni balaa
Ni kweli kabisa. Wengi ni wauzajiMkuu,
Wadada wa aina hii wako wachache sana..yani hata chats zake tuu zinajionyesha..ila wengi waliopo kwenye hizo site ni wauzaji
wamebadilisha jina sikuizi wakuitwa Escort sio Malaya etiii wanapunguza ukali wa matamshi..Gharama hiyo yote ni ili upate wanawake wanaojiuza?? Au ni escort ya nini sorry!
Ayaah ushantia dhambi mkuu. Najuta kufungua NafakaEscort ni sex worker tu anaweza kuwa mwanaume au mwanamke. Hao wa escort nadhani wengi wanajiuza kwa wageni, actually ni malaya first class. Ingia Escorts Tanzania - Exotic Tanzania Premium Verified Escorts & Hookups. kwa VPN maana umefungiwa tanzania uone maajabu ya karne. Mpaka utajiuliza mwenyewe hivi hawa wanajiuza kwasababu gani
Mbadala ni punguza kilo za ulimi
Hakuna mwanamke mgumu mbele ya hela.Yani nilichokiona tinder na exortic, nikagundua unaweza kuwa na mtu wako we wadhani katulia kumbe wenzako wanamla huko kwa kumlipa. Mabinti wengi tena wazuri ambao ukikutana nao katika maisha ya kawaida hata kuwatongoza unajishauri wanajiuza cheap huko.
Sasa na sie tunajiuliza hivyo hivyo tukiwa tunachat na warembo wa huko tinder na badoo maana ndio hao hao walio mtaani na runatwgemea ndio wawe wake zetu.Comments za huu uzi zinakatisha tamaa mpaka unajiuliza hawa ndo wanaume tunao tegemea kukutana nao kwa ajili ya kufanya maisha??
God have mercy on us.
Tinder kila demu anajiuza tu, bora wajiite kabisa ma escort unakuta demu mkali anajiuza 20,000