nanga mstafu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 381
- 648
Kuna mwanasiasa aliwahi sema utawala huu wa awamu ya 5 unaweza uwe ndio utakaokua umetumia pesa zetu vibaya, kutuachia madeni ya ajabu na ufisadi wa hali ya juu.....
HII MIRADI YA MATRILIONI ITATUNUFAISHAJE NA KWA NN TULAZIMISHE ITEKELEZWE KWA MIKOPO?
TUNA HARAKA YA KWENDA WAPI?
kuna ule wa gesi mtwara ulishamalizika sijaona faida yake
2.huu wa treni ya umeme
3.barabara na madaraja
4.stiglers gorge na mingine mingine mingi....
HII MIRADI ITAKUJA KUTULE
HII MIRADI YA MATRILIONI ITATUNUFAISHAJE NA KWA NN TULAZIMISHE ITEKELEZWE KWA MIKOPO?
TUNA HARAKA YA KWENDA WAPI?
kuna ule wa gesi mtwara ulishamalizika sijaona faida yake
2.huu wa treni ya umeme
3.barabara na madaraja
4.stiglers gorge na mingine mingine mingi....
HII MIRADI ITAKUJA KUTULE