Hii Mbaya Sana

Haaaaa yalinikutaga hayo madhila baada ya kugawiwa mtihani wa maths nikaenda form four B kuwauliza Mwalimu katembeza kichapo kabla sijaondoka akaingia mwalimu wa physics akasema kila mmoja pembeni ya dawati na unyooshe mikono mbele zikapita fimbo Saba Saba toka siku hiyo niliacha udaku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom