Haaaaa yalinikutaga hayo madhila baada ya kugawiwa mtihani wa maths nikaenda form four B kuwauliza Mwalimu katembeza kichapo kabla sijaondoka akaingia mwalimu wa physics akasema kila mmoja pembeni ya dawati na unyooshe mikono mbele zikapita fimbo Saba Saba toka siku hiyo niliacha udaku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.