a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 3,448
- 3,935
Kauli hii inatoka katika Wafilipi 2:3 inayosema: "Msitende neno lolote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake."
Maana ya Andiko Hili
Epuka Mashindano: Usifanye mambo kwa nia ya kushindana, kuleta ugomvi, au kuonyesha kuwa wewe ni bora kuliko wengine
Ondoa Majivuno*: Usitende mambo kwa kiburi au kutafuta sifa za kibinafsi na sifa za kijinga.Kuwa Mnyenyekevu:
Mheshimu mwenzako na umhesabu kuwa wa thamani kubwa kuliko nafsi yako
Hata haya mambo ya shule za vipaji maalumu special school,haya mambo ya KUSHINDANA kushika nafasi ya kwanza darasani.
Kumjengea mtoto kumuaminisha kuwa yeye ni Bora sana kuliko wengine ama ana akili sana kuliko wengine KWA sababu amesoma shule Bora kuliko wengine ,amesoma chuo kikuu Bora kuliko wengine ,ana akili nyingi kuliko wengine na kwa sababu ana shika nafasi ya kwanza mpaka ya tatu au kumi Bora darasani.
NI KITU KIBAYA SANA .
Wengine tulipokuwa tuna soma tulikuwa tunashika hizi nafasi za kumi Bora top five darasani,ama wengine waliongoza kiwilaya ama kimkoa ,na wengine wamesoma vyuo vikuu Bora duniani ama hapa nchini ,ama shule za vipaji maalumu.SO WHAT??
SIO KWELI kwamba kushika nafasi ya kwanza darasani inakufanya WEWE kuwa Bora kuliko mwingine asiye shika nafasi ya kwanza darasani,sio KWELI MTU aliyesoma hizi formal education ni Bora kuliko MTU ambaye hajasoma hizi formal education/mwenye informal education.
KUMJENGEA MWANAO ajione kuwa yeye ni SPECIAL NI BORA kuliko wengine ni kitu KIBAYA SANA na sio REALISTIC NI MYTH.
Hata baadhi ya vyuo vikuu kuwaambia wanafunzi wao kuwa YOU ARE THE CREAM OF THE NATION ,nyie sio vyuo vya kata ,nyoe ni BORA SANA ni mbaya sana,
Haiwasaidii haiwajengi kitu na SIO KWELI NI UONGO.
Mungu anahitaji watu wote tuishi KWA UMOJA NA KUPENDANA na KUHESHIMIANA na kuthaminiana.
sisi wanadamu wote kila mmoja WETU Mungu amempa sehemu ya vipawa na karama yake tofauti tofauti lakini wote KWA UMOJA WETU tukishirikiana karama Mungu alizotupa tukiziunganisha ndio tunakamilishana na kukamilika.KILA MTU ni WA muhimu na kila MTU anahitaji watu.
Ukijiona kuwa Bora kuliko wengine hiyo inakutenganisha na watu ambao unawahitaji.
Wakorintho 12), yanayoeleza jinsi jamii au kanisa linavyopaswa kufanya kazi kwa umoja licha ya utofauti wa wanachama wake.
Maana yake kuu ni kwamba utofauti wa vipaji haupaswi kuleta mgawanyiko, bali unakamilisha ujenzi wa jumuia moja madhubuti.
Umuhimu wa Vipawa Tofauti katika Mwili Mmoja Kutegemeana:
Jicho haliwezi kusikia, na sikio haliwezi kuona.
Kila kiungo kinahitaji kingine ili mwili mzima uishi.
Kutofautiana kwa Majukumu: Kila mtu ana uwezo wa kipekee (uongozi, ualimu, huruma, au kusaidia) unaofaa kwa kazi maalum.Unyenyekevu:
Hakuna kipawa kilicho bora kuliko kingine. Vyote ni muhimu kwa ustawi wa pamoja.Lengo la Pamoja:
Vipaji vyote vinatakiwa kutumika kwa ajili ya kujenga na kuendeleza jumuia,
Maana ya Andiko Hili
Epuka Mashindano: Usifanye mambo kwa nia ya kushindana, kuleta ugomvi, au kuonyesha kuwa wewe ni bora kuliko wengine
Ondoa Majivuno*: Usitende mambo kwa kiburi au kutafuta sifa za kibinafsi na sifa za kijinga.Kuwa Mnyenyekevu:
Mheshimu mwenzako na umhesabu kuwa wa thamani kubwa kuliko nafsi yako
Hata haya mambo ya shule za vipaji maalumu special school,haya mambo ya KUSHINDANA kushika nafasi ya kwanza darasani.
Kumjengea mtoto kumuaminisha kuwa yeye ni Bora sana kuliko wengine ama ana akili sana kuliko wengine KWA sababu amesoma shule Bora kuliko wengine ,amesoma chuo kikuu Bora kuliko wengine ,ana akili nyingi kuliko wengine na kwa sababu ana shika nafasi ya kwanza mpaka ya tatu au kumi Bora darasani.
NI KITU KIBAYA SANA .
Wengine tulipokuwa tuna soma tulikuwa tunashika hizi nafasi za kumi Bora top five darasani,ama wengine waliongoza kiwilaya ama kimkoa ,na wengine wamesoma vyuo vikuu Bora duniani ama hapa nchini ,ama shule za vipaji maalumu.SO WHAT??
SIO KWELI kwamba kushika nafasi ya kwanza darasani inakufanya WEWE kuwa Bora kuliko mwingine asiye shika nafasi ya kwanza darasani,sio KWELI MTU aliyesoma hizi formal education ni Bora kuliko MTU ambaye hajasoma hizi formal education/mwenye informal education.
KUMJENGEA MWANAO ajione kuwa yeye ni SPECIAL NI BORA kuliko wengine ni kitu KIBAYA SANA na sio REALISTIC NI MYTH.
Hata baadhi ya vyuo vikuu kuwaambia wanafunzi wao kuwa YOU ARE THE CREAM OF THE NATION ,nyie sio vyuo vya kata ,nyoe ni BORA SANA ni mbaya sana,
Haiwasaidii haiwajengi kitu na SIO KWELI NI UONGO.
Mungu anahitaji watu wote tuishi KWA UMOJA NA KUPENDANA na KUHESHIMIANA na kuthaminiana.
sisi wanadamu wote kila mmoja WETU Mungu amempa sehemu ya vipawa na karama yake tofauti tofauti lakini wote KWA UMOJA WETU tukishirikiana karama Mungu alizotupa tukiziunganisha ndio tunakamilishana na kukamilika.KILA MTU ni WA muhimu na kila MTU anahitaji watu.
Ukijiona kuwa Bora kuliko wengine hiyo inakutenganisha na watu ambao unawahitaji.
Wakorintho 12), yanayoeleza jinsi jamii au kanisa linavyopaswa kufanya kazi kwa umoja licha ya utofauti wa wanachama wake.
Maana yake kuu ni kwamba utofauti wa vipaji haupaswi kuleta mgawanyiko, bali unakamilisha ujenzi wa jumuia moja madhubuti.
Umuhimu wa Vipawa Tofauti katika Mwili Mmoja Kutegemeana:
Jicho haliwezi kusikia, na sikio haliwezi kuona.
Kila kiungo kinahitaji kingine ili mwili mzima uishi.
Kutofautiana kwa Majukumu: Kila mtu ana uwezo wa kipekee (uongozi, ualimu, huruma, au kusaidia) unaofaa kwa kazi maalum.Unyenyekevu:
Hakuna kipawa kilicho bora kuliko kingine. Vyote ni muhimu kwa ustawi wa pamoja.Lengo la Pamoja:
Vipaji vyote vinatakiwa kutumika kwa ajili ya kujenga na kuendeleza jumuia,