Nionyeshe wapi imeandikwa siku ya sabato ni jumamosi.Yesu alitengua na Sabato?!
kwahiyo torati ndio sabato? kwa uelewa wako.Hivi si Yesu alisema hakuja kuitengua torati bali kuitimiliza..na kuna mahali alisema yeye ni nwana wa sabato..na pia alisema amekuja kitimiza maagizo ya Baba..
Halafu kwani wayahudi waliamini Mungu yupi na Yesu alitumwa na Mungu yupi?
#MaendeleoHayanaChama
Hakutengua torati,Bali aliikamilishaWayahudi ni wa kale, wanasimamia agano la kale, Wakristo ni wa Yesu Kristo. Yesu Kristo alikuja duniani na kukuta wayahudi na sheria zao za kuabudu jumamosi yani muendelezo wa ya kale,
Yesu Kristo yeye akatengua ya kale yakawa mapya, likazaliwa agano jipya chini ya muongozo na sheria za Yesu Kristo na sio za uyahudi.
Wakristo wanafata ya Yesu hawafati ya wayahudi maana myahudi ni binadamu kama binadamu mwingine na ndie aliyemsulubisha Yesu na mpaka leo hii kuna wayahudi wanaamini Yesu hakuwahi kuja bado wanamsubiri.
Kama wakristo hawafuati agano la kale mbona wanashika amri tisa za Mungu zilizotolewa na Mungu kwa Wayahudi kwenye mlima Sinai? Mbona mtu akivunja hizo amri wanampa karipio na kumtenga? Kwa nini amri tisa tu ziwe halali ila moja tu iwe haramu kwao, yaani ya kusali Jumamosi. Wangeacha kuzishika amri zote wangeeleweka.Wayahudi ni wa kale, wanasimamia agano la kale, Wakristo ni wa Yesu Kristo. Yesu Kristo alikuja duniani na kukuta wayahudi na sheria zao za kuabudu jumamosi yani muendelezo wa ya kale,
Yesu Kristo yeye akatengua ya kale yakawa mapya, likazaliwa agano jipya chini ya muongozo na sheria za Yesu Kristo na sio za uyahudi.
Wakristo wanafata ya Yesu hawafati ya wayahudi maana myahudi ni binadamu kama binadamu mwingine na ndie aliyemsulubisha Yesu na mpaka leo hii kuna wayahudi wanaamini Yesu hakuwahi kuja bado wanamsubiri.
Pia mpende Mungu kwa kutii amri zake ikiwemo na sabatoNinachoamini mimi kwamba unasali siku gani haitakuwa kigezo cha hukumu yako
Sali siku yoyote cha msingi penda wengine baasi mbingu unaingia mapema sana.
Wewe umeamua kukaidi tu..na hata nikikuelewesha utakuja na hoja za kupinga..kiufupi torati iliandikwa na musa amri kumi zikiwemo na ndio msingi wa torati.kwahiyo torati ndio sabato? kwa uelewa wako.
Wakristo ni wafuasi wa Yesu.Luka 4:16(Akaenda Nazareti pale alipolelewa na Siku ya Sabato akaingia kwenye Sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake......)Nadhani umepata jibu,Mungu na akutangulie na wote wasomao.