Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,550
Wakristo wengi uabudu jumapili kama siku ya ibada.
Wakristo wengi uaminishwa kuwa Wayahudi ni watu wateule wa Mungu. Taifa la Mungu
Wayahudi ufanya ibada siku ya Jumamosi.
Kwanini wakristo hawaabudu Jmosi kama Wafanyavyo Wayahudi?
Na ukienda makanisa mengi unakuta hadi bendera za Israel zimepandishwa!
Naitaji majibu yenye logic tu...wafia dini siwataki hapa!
Wakristo wengi uaminishwa kuwa Wayahudi ni watu wateule wa Mungu. Taifa la Mungu
Wayahudi ufanya ibada siku ya Jumamosi.
Kwanini wakristo hawaabudu Jmosi kama Wafanyavyo Wayahudi?
Na ukienda makanisa mengi unakuta hadi bendera za Israel zimepandishwa!
Naitaji majibu yenye logic tu...wafia dini siwataki hapa!