Hii kweli ni mpya.

Hii kweli ni mpya.

Tby

Member
Joined
Nov 29, 2011
Posts
53
Reaction score
3
Nina rafiki yangu wa kike tunapendana!
Alikuja kwangu, tukaongea mambo mengi na tukafanya ya faragha pia.
Baada ya hapo mdada analazimisha nipumzike yaani nilale usingizi.. Nikamwambia mwenzio hata nifanye kazi gani siwezi kulala mchana wala jioni, kulala kwangu saa tano au sita usiku.
Anadai kama sitolala muda ule haji tena kwangu!!
 
Hahahaaaa, labda uliperform chini ya kiwango, kwa hiyo alitaka upumzike ukiamke utoe dozi ya uhakika.....who knows!!!!?
 
Nina rafiki yangu wa kike tunapendana!
Alikuja kwangu, tukaongea mambo mengi na tukafanya ya faragha pia.
Baada ya hapo mdada analazimisha nipumzike yaani nilale usingizi.. Nikamwambia mwenzio hata nifanye kazi gani siwezi kulala mchana wala jioni, kulala kwangu saa tano au sita usiku.
Anadai kama sitolala muda ule haji tena kwangu!!

hyo umetunga Tby
 
Last edited by a moderator:
Nina rafiki yangu wa kike tunapendana!
Alikuja kwangu, tukaongea mambo mengi na tukafanya ya faragha pia.
Baada ya hapo mdada analazimisha nipumzike yaani nilale usingizi.. Nikamwambia mwenzio hata nifanye kazi gani siwezi kulala mchana wala jioni, kulala kwangu saa tano au sita usiku.
Anadai kama sitolala muda ule haji tena kwangu!!

Danganya kama ume lala
 
Nina rafiki yangu wa kike tunapendana!
Alikuja kwangu, tukaongea mambo mengi na tukafanya ya faragha pia.
Baada ya hapo mdada analazimisha nipumzike yaani nilale usingizi.. Nikamwambia mwenzio hata nifanye kazi gani siwezi kulala mchana wala jioni, kulala kwangu saa tano au sita usiku.
Anadai kama sitolala muda ule haji tena kwangu!!
anataka umuote maana live anahisi hujatosheka
 
Hii ikoje.. ina maana uligegeda mchana. Hata hivyo unawezaje lala kama huna usingizi. Au ulimaanisha kujipumzisha baada ya mchezo?
 
Hii ikoje.. ina maana uligegeda mchana. Hata hivyo unawezaje lala kama huna usingizi. Au ulimaanisha kujipumzisha baada ya mchezo?

after faragha anataka nilale i think anarelate na somewhere kuwa ukitoka faragha lazima ulale.
 
Hahahaaaa, labda uliperform chini ya kiwango, kwa hiyo alitaka upumzike ukiamke utoe dozi ya uhakika.....who knows!!!!?
.umemaliza mkuu, nadhani jamaa kashindwa kung'amua hilo...
 
Hahahaaaa, labda uliperform chini ya kiwango, kwa hiyo alitaka upumzike ukiamke utoe dozi ya uhakika.....who knows!!!!?

sasa si aseme jamani? Huwezi kujisifu unless mwenzio aseme. Dah?
 
kweli wewe hunipendi. Haha haaa

ndio sikupendi napenda pochi yako ndo maana nakushauri uilinde kwa means yoyote AU TIA UFUNGUO MDOMONI KAMA VILE UKIWEKA PIPI MDOMONI
 
Uzinzi ni adhabu kweli. Sasa hata kumuamini ukasinzia nae huwezi?

watu8 njoo utoe nasaha
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom