Hii kweli ni mpya.

Hii kweli ni mpya.

Nina rafiki yangu wa kike tunapendana!
Alikuja kwangu, tukaongea mambo mengi na tukafanya ya faragha pia.
Baada ya hapo mdada analazimisha nipumzike yaani nilale usingizi.. Nikamwambia mwenzio hata nifanye kazi gani siwezi kulala mchana wala jioni, kulala kwangu saa tano au sita usiku.
Anadai kama sitolala muda ule haji tena kwangu!!

Kuna vitu kaagizwa na sangoma akufanyie. Mtimue aende zake ndio uchape usingizi wako
 
embu jifanye umelala afu uone atafanya nini? alafu ulete mrejesho
 
Nina rafiki yangu wa kike tunapendana!
Alikuja kwangu, tukaongea mambo mengi na tukafanya ya faragha pia.

Baada ya hapo mdada analazimisha nipumzike yaani nilale usingizi.. Nikamwambia mwenzio hata nifanye kazi gani siwezi kulala mchana wala jioni, kulala kwangu saa tano au sita usiku.
Anadai kama sitolala muda ule haji tena kwangu!!

Ya faragha ni yapi hayo? Au mi ndo NIMIZEEKA???
 
Hahahaaaa, labda uliperform chini ya kiwango, kwa hiyo alitaka upumzike ukiamke utoe dozi ya uhakika.....who knows!!!!?

Namimi nilitaka kumwambia hivo mana kama shughuri ilikuwa pevu lazima angepumzika hata kwa dakika chache
 
We lala tu, ukiibiwa hutakuwa wa kwanza, ukipigwa bisu hutakuwa wa kwanza
 
yaani wewe siyo askari na uashari siyo lazima upite jkt, ungelala kwa style ya kumbana yeye hata akitaka kutoka lazima akuamshe, yaani yeye yuko chini wewe juu kidogo miguu yake umeibana, au ungejifanya umelala ili ujue anataka kufanya nini na fika anaonekana si rafiki mwema kwako kuna kitu anataka
 
wizi huyo kwani anataka akufanye nini looo????
 
Uzinzi ni adhabu kweli. Sasa hata kumuamini ukasinzia nae huwezi?

watu8 njoo utoe nasaha

Best ni ngumu sana kumshauri mzinzi akakuelewa...ndio maana kukaletwa lile gonjwa lililowekwa mahali pabaya ili iwe adhabu kwa wote wazinio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom