Hii kiboko,Nani anaweza?

Hii kiboko,Nani anaweza?

acha maskhara mkuu...ninge-appreciate kama ungeihusisha walau kiduchu tu google katika jibu lako

Hawezi akawa mwarabu. Wasichana wa kiarabu hawaruhusiwi kucheza michezo ya aina hii
 
Kwa wenzetu ni kawaida kupigania kuweka rekodi katika kumbukumbu za dunia, ss tunakazana kuweka rekodi tunazojua wenyewe huku mitaani.

Hata sisi tungeweka rekodi, ni vile tu hakuna aliye interest kurekodi ngono isiyo rasmi
 
acha maskhara mkuu...ninge-appreciate kama ungeihusisha walau kiduchu tu google katika jibu lako

We bado unadhani huyo ni mmanga? Mbona sura yake inaonyesha dhahiri kuwa ni wa Far East??
 
hakuna watu wanaobishana wewe...kuelekezana na kubishana ni mambo mawili tofauti

Mimi sioni hata mnachobishania, kwani kuna sheria kwamba Mchina hawezi kufika Dubai?

220px-Burj_Al_Arab,_Dubai,_by_Joi_Ito_Dec2007.jpg


Wachina hata Uyui wapo
 
teh! teh! ...mkuu mi sijui bhanaa, nina allergy na watu wa far east ndio maana naona ni mmanga!!

We bado unadhani huyo ni mmanga? Mbona sura yake inaonyesha dhahiri kuwa ni wa Far East??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom