Hii kiboko,Nani anaweza?

Hii kiboko,Nani anaweza?

LexAid

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
1,931
Reaction score
774
555796_418214724930389_1282798225_n.jpg
 
Hawajamaa kwa sarakasi ndio wenyewe. Karibu we kajambanani kama hujavunjika viongo vyako vyote
 
Kwa umri niliofikia siwezi kufanya hivyo..nilipaswa kuanza mapema!

"It is a sign of strength, not of weakness, to admitthat you don't know all the answers"
 
Mkuu sidhani kama huyo ni Mchina...hapo kwa haraka mandhari yanaonesha ni Dubai, hivyo huyo dada atakuwa ni Mmanga tu...

Mimi nadhani anahasili ya Kirusi au Nchi za maeneo ya kule (Slovenia etc); Wale jamaa nao nia hatari kwa michezo hii ya sarakasi!
 
No i cannot and i will never dare,nivunjike viungo kisa?????
Ndio, ukijaribu ukiwa na umri huo ulio nao, utameguka tu! Huyo unayemwona pichani alianza mazoezi akiwa
mdogo sana, umri wa miaka minne au mitano. Mwili umezoea na kukubali kukunjwa kama plastiki.
 
Yeah hujakosea mkuu, lakini angalia kwa background kuna "Burj Al Arab: 8 Star All Suite Hotel", ile yenye umbo kama Jahazi huko DUBAI.

Mimi nadhani anahasili ya Kirusi au Nchi za maeneo ya kule (Slovenia etc); Wale jamaa nao nia hatari kwa michezo hii ya sarakasi!
 
Ndio, ukijaribu ukiwa na umri huo ulio nao, utameguka tu! Huyo unayemwona pichani alianza mazoezi akiwa
mdogo sana, umri wa miaka minne au mitano. Mwili umezoea na kukubali kukunjwa kama plastiki.
Mhhhh kwa kweli tauwaachie wenyewe akkhuuu mie sitaki hata kusikia hizo habari.tena zaikafie hukohuko uchinani.
 
Kwa wenzetu ni kawaida kupigania kuweka rekodi katika kumbukumbu za dunia, ss tunakazana kuweka rekodi tunazojua wenyewe huku mitaani.
 
Yeah hujakosea mkuu, lakini angalia kwa background kuna "Burj Al Arab: 8 Star All Suite Hotel", ile yenye umbo kama Jahazi huko DUBAI.

Mimi sioni hata mnachobishania, kwani kuna sheria kwamba Mchina hawezi kufika Dubai?

220px-Burj_Al_Arab,_Dubai,_by_Joi_Ito_Dec2007.jpg


Wachina hata Uyui wapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom