ruby garnet
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 2,860
- 3,810
Kwa hiyo mbowe ni dictator wa taifa gani?. Naomba nikumbushe, na ikiwezekana tuhamasishe maandamano tumutoe madarakani kama bashiri na wengine uliowataja.Muda wa kumkubali Mbowe kwenye Jamii umeisha.
Kila kitu kina Expiring Date.
Mbowe ameexpire kana Rais wa Sudani, Gadaf, Mabuto na madikteta Wengine waliowahi kutokea duniani.
Hakuna mtu nanyekubalika muda wote.
Mbowe mambo mengi anayakosea kutokana na kuwaza sifa binafsi ,zaidi kuliko jamii .
Kuna watu wananiuma sana ninapowaza kuwa wanaweza wakafunga lakini sio Mbowe.
Mbowe anapaswa kufungwa kifungo cha Maisha mana amesbabisha Demokrasia ya nchi hii kutoweka. Ameshindwa kucheza na siasa za Awamu ya Tano badala yake akalazimisha kwenda na mambo ya awamu ya Nne .
Kuhamasisha maandamano ya Ghafla ni jambo la hatari sana na halikawahi kukubalika popote duniani.
Ni vema Aliyelazimisha maandamano akafungwa gerezani.
Haki itendeke.