Usilazimishe, hauongei na chadema hapa.. hizo stress zako deal nazo kwa namna nyingineMission already proved failure Buda. Haiwezekani chama chenye wanachama zaidi ya seven milion( according to CHADEMA ni wakose msingi) watu milioni moja wa kuwachangia jero jero ndani ya 24 hrs!? Hiyo nguvu yenu ya Umma ni ipi!?
Umeandika mzaha sio mzaha?ππππViongozi wakuu wa CHADEMA, Jana walikutana na Nyundo ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, pale walipopatikana na hatia ya jumla ya makosa kumi na mbili(12)na kutakiwa kulipa faini ya jumla ya fedha kiasi Cha Tsh.350 milioni au kwenda jera miezi mitano(5) kwa kila mmoja.
Kama kawaida ya wanasiasa wakaamua kuitumia Hukumu hiyo Kama karata ya kisiasa, wote tunajua Mbowe hawezi kukosa milioni 70, Msigwa hawezi kukosa milioni 30, lakini wakaona ngoja wapime upepo ni kwa kiasi gani bado wana ushawishi katika jamii.
Kwa macho ya kwaida unaweza kusema wamefanikiwa, lakini ukizama ndani zaidi unaweza kuanza kutilia mashaka ushawishi wa chama hiki kikuu Cha upinzani.
CHADEMA walihitaji watu elfu hamsini tu(50000) wawachangie Tsh.10000 wawe wote wametoka ndani Leo hii.
Lakini hadi muda huu, Ni watatu tu Kati ya 7 walikuwa wamelipiwa( hapa Dr.Mashinji si sehemu). Sasa hoja inaweza kiibuka inawezekana vipi katika Taifa lenye watu karibia milioni 60, tuseme watu wazima ni nusu yake, Chama kinachojinasibu kuwa kinakubalika Sana na kulikuwa na habari kuwa kampeni ya CHADEMA ni msingi imetengeneza mamilioni ya Wanachama halafu hadi sasa Chama hiki kimekosa watu elfu hamsini wa kutoa ten ten.
Hii karata inaweza ikawa imewapa umaarufu wa muda CHADEMA lakini inaweza pia ikawa imewaacha uchi hasa kwenye nguvu yao ushawishi kwa Watanzania kwa Sasa.
wana CHADEMA wamejitahidi sana na wanafanya vizuri,najua umepanic sana baada ya kuona muamko wao katika hili wengine 100,200,500......Viongozi wakuu wa CHADEMA, Jana walikutana na Nyundo ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, pale walipopatikana na hatia ya jumla ya makosa kumi na mbili(12)na kutakiwa kulipa faini ya jumla ya fedha kiasi Cha Tsh.350 milioni au kwenda jera miezi mitano(5) kwa kila mmoja.
Kama kawaida ya wanasiasa wakaamua kuitumia Hukumu hiyo Kama karata ya kisiasa, wote tunajua Mbowe hawezi kukosa milioni 70, Msigwa hawezi kukosa milioni 30, lakini wakaona ngoja wapime upepo ni kwa kiasi gani bado wana ushawishi katika jamii.
Kwa macho ya kwaida unaweza kusema wamefanikiwa, lakini ukizama ndani zaidi unaweza kuanza kutilia mashaka ushawishi wa chama hiki kikuu Cha upinzani.
CHADEMA walihitaji watu elfu hamsini tu(50000) wawachangie Tsh.10000 wawe wote wametoka ndani Leo hii.
Lakini hadi muda huu, Ni watatu tu Kati ya 7 walikuwa wamelipiwa( hapa Dr.Mashinji si sehemu). Sasa hoja inaweza kiibuka inawezekana vipi katika Taifa lenye watu karibia milioni 60, tuseme watu wazima ni nusu yake, Chama kinachojinasibu kuwa kinakubalika Sana na kulikuwa na habari kuwa kampeni ya CHADEMA ni msingi imetengeneza mamilioni ya Wanachama halafu hadi sasa Chama hiki kimekosa watu elfu hamsini wa kutoa ten ten.
Hii karata inaweza ikawa imewapa umaarufu wa muda CHADEMA lakini inaweza pia ikawa imewaacha uchi hasa kwenye nguvu yao ushawishi kwa Watanzania kwa Sasa.
tusubiri Sanduku la kura tu tuwaondoshe CCMViongozi wakuu wa CHADEMA, Jana walikutana na Nyundo ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, pale walipopatikana na hatia ya jumla ya makosa kumi na mbili(12)na kutakiwa kulipa faini ya jumla ya fedha kiasi Cha Tsh.350 milioni au kwenda jera miezi mitano(5) kwa kila mmoja.
Kama kawaida ya wanasiasa wakaamua kuitumia Hukumu hiyo Kama karata ya kisiasa, wote tunajua Mbowe hawezi kukosa milioni 70, Msigwa hawezi kukosa milioni 30, lakini wakaona ngoja wapime upepo ni kwa kiasi gani bado wana ushawishi katika jamii.
Kwa macho ya kwaida unaweza kusema wamefanikiwa, lakini ukizama ndani zaidi unaweza kuanza kutilia mashaka ushawishi wa chama hiki kikuu Cha upinzani.
CHADEMA walihitaji watu elfu hamsini tu(50000) wawachangie Tsh.10000 wawe wote wametoka ndani Leo hii.
Lakini hadi muda huu, Ni watatu tu Kati ya 7 walikuwa wamelipiwa( hapa Dr.Mashinji si sehemu). Sasa hoja inaweza kiibuka inawezekana vipi katika Taifa lenye watu karibia milioni 60, tuseme watu wazima ni nusu yake, Chama kinachojinasibu kuwa kinakubalika Sana na kulikuwa na habari kuwa kampeni ya CHADEMA ni msingi imetengeneza mamilioni ya Wanachama halafu hadi sasa Chama hiki kimekosa watu elfu hamsini wa kutoa ten ten.
Hii karata inaweza ikawa imewapa umaarufu wa muda CHADEMA lakini inaweza pia ikawa imewaacha uchi hasa kwenye nguvu yao ushawishi kwa Watanzania kwa Sasa.
Mimi huusema ukweli bila kujali anayeusikia. Nimeshazoea kubadilishiwa uanachama wa vyama kila ninapoandika mada hapa JF.Ndiyo raha ya kutokuwa na chamaUme nyutorolaizi uzi wako wa jana, kuwa hakimu simba alikuwa fair
CCM ni genge la watu wachache wasiojiamini walioamua kutumia mabavu ya dola kutawala.Chadema ni chama cha umma ccm ni ni kikundi kinachotawala bila utashi wa watanzania kuna tofauti kubwa hata kama ukisema uwachangie je nani atakubali kuwachangia? police?
Mkuu hilo ni kundi la wahalifu. Ona jana sijui wamekwapua kwanani 30Mil kumlipia Mashinji, ingawa kiukweli nasikia Mashinji hajalipiwa hata senti tano ndio maana hakuna stakabadhi ya malipo ya 30Mil iliyoonyeshwa popote pale..CCM ni genge la watu wachache wasiojiamini walioamua kutumia mabavu ya dola kutawala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sihitaji like ya mutu Buda, wala comment, though najiuliza kilichokufanya ucomment nini!? Wewe unajua kwanini umecomment Buda!?
Kweli cha umma!! Hata ofisi hawana. Kwa kujifariji hamjambo!Chadema ni chama cha umma ccm ni ni kikundi kinachotawala bila utashi wa watanzania kuna tofauti kubwa hata kama ukisema uwachangie je nani atakubali kuwachangia? police?
πππUnampa Airtime ya bure tu !
Hoja ya kijinga sana !Vipi mbona mmeshindwa kujenga hata ofisi kama kweli ni chama cha wananchi? Mnakaa kweli pagale pale ufipa.!!