kwiih kwii....aha ha haa!Dawa ya meno!
mtoto mbona anataka kulianzisha timbwili jengine jipya?Mtoto:et kwani we n babaangu?
Baba:ndio,kwann umeulza hvyo?
Mtoto:kwan babaangu c analala na mama?
Baba:ndio
mtoto:mbona mnanichanganya?kwa hyo babaangu ni wewe,ba fatu,ba eliza,ba asha,ba esta au ba jack?
Baba:....@{~&¥**??!